GY
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,279
- 126
........don forget, the st. is the rule...lol
I know, I know,.......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
........don forget, the st. is the rule...lol
G-Y hiyo number mnashabihiana kwa kwa kila kitu....hahaha!Sorry Baba G unataka kujua huyo namba 8 kama ni digidigi au tembo?
hata kicukari kinapungua
:nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono:Nimewahi kusoma sehemu fulani,kuwa watu wenye majina ya Rose huwa na matatizo katika mahusiano,aidha ndoa huw a na migogoro au kutoolew kabisa.Baadaya kusoma elimu ile nilifanya utafiti mdigo kwa kina Rose ninaowajua ,nikagundua asilimia 80 wanamatatizo hayo wewe unasemaje !
hahha haaaaa
nimechceka!!1
naona unamtsha dig dig!!!!!!!
G-Y hiyo number mnashabihiana kwa kwa kila kitu....hahaha!
jumamoci naenda na mkeo bilikanaaz....!Kakojoe ulale...:A S-devil1:
umbea tu nyoooooooooooo!!!!!!
sangap unaelekea airpot?mamkubwa asi anarud leo?
au bigirita ataenda kumchukua KIPENZ CHAKE????:doh::doh::yield::yield::yield:
:rip:FINEST!!!!!!1
jumamoci naenda na mkeo bilikanaaz....!
sasa tutajua nani wa kukojoa na kulala on the vere same day
jumamoci naenda na mkeo bilikanaaz....!
sasa tutajua nani wa kukojoa na kulala on the vere same day
Halafu Bilicanaz kuna age restriction watu wenye DIABETES hawaruhusiwi kuingia
Utaenda Bilz na mfalme wenu nyie digidigi....
dah, na wanaoitwa digidigi je? tutabia twao tukoje?Hebu baelezee hawa digidigi....ile limbwata imeisha au jioni ninunue nyingine?
AYAAAAAAAAAAAAA mbona umeharibu tena?jumamoci naenda na mkeo bilikanaaz....!
sasa tutajua nani wa kukojoa na kulala on the vere same day
heheheeeeeeeeeeee... hao ukienda states ndio wanaongoza kwa umbeya na poowwweeederrrr!!!Muite mtoto wako majina yafuatayo SHANIQUA, SHONTELLE, SHANICE, :smile-big::smile-big:
dah, na wanaoitwa digidigi je? tutabia twao tukoje?
Utakuja kuja kutuchukua tukimaliza?
aaaaaah jamani...mimi mbona jina langu ni Rose na niko kwenye ndoa miaka 12 sasa na tunapendana sana na mume wangu na wala haijawahi tokea tukatishiana kuachana na wala haitatokea....