Wenye mamlaka, Pigeni Ban VPN

Wenye mamlaka, Pigeni Ban VPN

Brojust

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
349
Reaction score
1,024
Yaani watu hadi kwenye daladala anawasha VPN anaendelea na mambo yake.

Basi angeweka hata screen protector ile ya Privacy. Yaani kuna wazee wa hovyo kabisa hapa mjini.

Yaani basi tu sijasoma IT ila ningekuwa nimesoma ningeandika hata proposal ya kupiga ban kabisa na hizo VPN ili tuwe taifa safi ili watu wafanye kazi kwa bidii bila mawazo yao na ubongo wao kuchafuliwa na haya mapilau.

Mliosoma IT na computer science hakuna namna unawweza kuisaidia serikali kupiga ban haya madude ya kina Angel eyes na wenzake.

Msije mkaona mimi ni kilaza kwamba sijui umuhimu wa VPN kwenye baadhi ya biashara, la hasha kuna watu wanatumia VPN kwa ajili tu ya kushusha hayo madude na kuangalia live.

Anyway nawasilisha.
 
Yaani watu hadi kwenye daladala anawasha VPN anaendelea na mambo yake.

Basi angeweka hata screen protector ile ya Privacy. Yaani kuna wazee wa hovyo kabisa hapa mjini.

Yaani basi tu sijasoma IT ila ningekuwa nimesoma ningeandika hata proposal ya kupiga ban kabisa na hizo VPN ili tuwe taifa safi ili watu wafanye kazi kwa bidii bila mawazo yao na ubongo wao kuchafuliwa na haya mapilau.

Mliosoma IT na computer science hakuna namna unawweza kuisaidia serikali kupiga ban haya madude ya kina Angel eyes na wenzake.

Anyway nawasilisha.
We nae ni fala Aisee
 
Yaani watu hadi kwenye daladala anawasha VPN anaendelea na mambo yake.

Basi angeweka hata screen protector ile ya Privacy. Yaani kuna wazee wa hovyo kabisa hapa mjini.

Yaani basi tu sijasoma IT ila ningekuwa nimesoma ningeandika hata proposal ya kupiga ban kabisa na hizo VPN ili tuwe taifa safi ili watu wafanye kazi kwa bidii bila mawazo yao na ubongo wao kuchafuliwa na haya mapilau.

Mliosoma IT na computer science hakuna namna unawweza kuisaidia serikali kupiga ban haya madude ya kina Angel eyes na wenzake.

Anyway nawasilisha.
Eti VPN ipigwe ban. Isingekuwa VPN haya madini ninayowalisha hapa JF mngeyapataje.

Acheni mambo yenu bwana.
 
Simu Kwa sasa ni

TV
Radio
Chuo /shule
Ofisini
Recreation place
Enjoyment place

So ni swala la mentality ya MTU kujua kipi afanye katika simu yake na kipi asifanye .

Swala kupiga marufuku kila kitu unachoona hakiendani na maadili yako inaweza ukawa sahihi Ila pia ukawa haupo sahihi.

Ni Kama unavyoona Visungura kuna watu wanatajirika Kwa kuua Afya za watu na kuna watu wanakuwa masikini na mateja Kwa kunywa visungura.

Ni vizuri unapoingia sehemu yoyote focus on your own direction. And not to someone's else direction
 
Simu Kwa sasa ni

TV
Radio
Chuo /shule
Ofisini
Recreation place
Enjoyment place

So ni swala la mentality ya MTU kujua kipi afanye katika simu yake na kipi asifanye .

Swala kupiga marufuku kila kitu unachoona hakiendani na maadili yako inaweza ukawa sahihi Ila pia ukawa haupo sahihi.

Ni Kama unavyoona Visungura kuna watu wanatajirika Kwa kuua Afya za watu na kuna watu wanakuwa masikini na mateja Kwa kunywa visungura.

Ni vizuri unapoingia sehemu yoyote focus on your own direction. And not to someone's else direction
Well said.
 
Yaani watu hadi kwenye daladala anawasha VPN anaendelea na mambo yake.

Basi angeweka hata screen protector ile ya Privacy. Yaani kuna wazee wa hovyo kabisa hapa mjini.

Yaani basi tu sijasoma IT ila ningekuwa nimesoma ningeandika hata proposal ya kupiga ban kabisa na hizo VPN ili tuwe taifa safi ili watu wafanye kazi kwa bidii bila mawazo yao na ubongo wao kuchafuliwa na haya mapilau.

Mliosoma IT na computer science hakuna namna unawweza kuisaidia serikali kupiga ban haya madude ya kina Angel eyes na wenzake.

Msije mkaona mimi ni kilaza kwamba sijui umuhimu wa VPN kwenye baadhi ya biashara, la hasha kuna watu wanatumia VPN kwa ajili tu ya kushusha hayo madude na kuangalia live.

Anyway nawasilisha.
Practicaly imposible, you simply cant separate nani anatumia kwa kazi zake na nani anatumia vibaya.
Unachotaka wewe si kuzuiwa kaa vpn bali ni watu wasiangalia mauchafu (as for now labda ku block site husika )
Njia moja rais ni kublock IPs , which ita block almost service nyingi na kukwamisha biashara za watu pia
 
Back
Top Bottom