Wenye mamlaka, Pigeni Ban VPN

Acha usemge wewe na acha kufuatilia maisha ya watu. This is a fuking free country. Unajikuta nani mpaka upangie matumizi ya simu ya mtu.

For your fuking information hakuna mpuuzi yoyote duniani anaweza kufungia matumizi ya vpn wala vpn yenyewe. Ni kama kumpitisha tembo kwenye tundu la sindano. Labda wazuie matumizi ya line physically turudi stone ages.
 
Unahoja ipokelewe
 
😄😃
 
Wewe ni kama wanaowashambulia wanawake wasiovaa hijab Iran
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…