Wenye maono ya Mungu tuliposema Mchezaji Bernard Morrison ni Mzigo na Hasara kwa Simba SC tulitukanwa na kudhihakiwa, ifike muda mkubali tuyasemayo

Genta bana
Genta bana.
 
Wachezaji wa yanga wote wapo kambini na wanafata taratibu na miiko ya klabu.

Lakini mchezaji wetu Benard Morrison ni msumbifu sana.

Ipo wapi Fair competition?

Watu wa FCC mpo wapi?.
 
Kwani ulikubali utakufa?
 
Popoma hapa uliruhusu matumizi kidogo ya akili ndogo uliyokuwa nayo..kongole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…