Wenye maono ya Mungu tuliposema Mchezaji Bernard Morrison ni Mzigo na Hasara kwa Simba SC tulitukanwa na kudhihakiwa, ifike muda mkubali tuyasemayo

Wenye maono ya Mungu tuliposema Mchezaji Bernard Morrison ni Mzigo na Hasara kwa Simba SC tulitukanwa na kudhihakiwa, ifike muda mkubali tuyasemayo

Nimeshalifafanua hili ila najua Wapumbavu huwa hamkosekani duniani.

Endelea / Endeleeni tu Kuota na Kuhisi na hata kudhani kuwa Mightier Mimi ndiyo GENTAMYCINE.

Kichwa changu cha Habari sijasema niliye na Maono bali nimejumuisha wenye Maono na ungekuwa tu na Akili ambazo kwa bahati mbaya huna pamoja na Wapumbavu Wenzako wala usingesema kuwa Mimi ni GENTAMYCINE bali ungeelewa tu kuwa kwa Kauli hiyo nimewajumuisha wale Members wote ambao walishayasema hapa JamiiForums Mapungufu ya Mchezaji Bernard Morrison hata siyo Mimi Mightier niliyesema.

Inaonyesha huyo GENTAMYCINE amewakojoleeni wengi mno hapa kiasi kwamba mnampenda na mnafarijika sana Kumtajataja na Kumhisi kuwa ni Yeye katika kila ID hapa kwa Hoja yako ( yenu ) ya Kipumbavu kuwa ana Uandishi unaofanana.

Hivi tunapokuwa hapa JamiiForums tunatakiwa kila Mtu kutumia aina yake ya Uandishi na kama akiandika kama Member mwingine ndiyo justification kuwa ni Yeye huyo huyo na kwamba ana Mulitiple ID"s?

Washamba, Wapuuzi na Wanafiki wakubwa.

Cc: mtu chake, Frustration, Ochumeraa, ukikaidi utapigwa2, KAGAMEE
Umeingiziwa kitu gani hapo nyuma mbna umepanic
 
Dalili kubwa kabisa ya Mwanaume muoga nikutukana na kukoromea wanaume wenzake nyuma ya keyboard.
Yani huwa hana tofauti na mbwa koko anaejifanya kubwekea watu akiwa nyumbani angali akiwa mtaani anafyata mkia kwa uoga na ujuha.

Hivyo basi kuna watu humu jf ukisoma tu wanachokiandika hata hausumbuki kujua level ya ujasiri wao.

Remeber; words are for women and actions for men.
hahahaha.uko sahihi
 
Nimeshalifafanua hili ila najua Wapumbavu huwa hamkosekani duniani.

Endelea / Endeleeni tu Kuota na Kuhisi na hata kudhani kuwa Mightier Mimi ndiyo GENTAMYCINE.

Kichwa changu cha Habari sijasema niliye na Maono bali nimejumuisha wenye Maono na ungekuwa tu na Akili ambazo kwa bahati mbaya huna pamoja na Wapumbavu Wenzako wala usingesema kuwa Mimi ni GENTAMYCINE bali ungeelewa tu kuwa kwa Kauli hiyo nimewajumuisha wale Members wote ambao walishayasema hapa JamiiForums Mapungufu ya Mchezaji Bernard Morrison hata siyo Mimi Mightier niliyesema.

Inaonyesha huyo GENTAMYCINE amewakojoleeni wengi mno hapa kiasi kwamba mnampenda na mnafarijika sana Kumtajataja na Kumhisi kuwa ni Yeye katika kila ID hapa kwa Hoja yako ( yenu ) ya Kipumbavu kuwa ana Uandishi unaofanana.

Hivi tunapokuwa hapa JamiiForums tunatakiwa kila Mtu kutumia aina yake ya Uandishi na kama akiandika kama Member mwingine ndiyo justification kuwa ni Yeye huyo huyo na kwamba ana Mulitiple ID"s?

Washamba, Wapuuzi na Wanafiki wakubwa.

Cc: mtu chake, Frustration, Ochumeraa, ukikaidi utapigwa2, KAGAMEE
Huu muandiko wa Genta kabisa
 
Morrison harudi Yanga ng'oo
 
Nimeshalifafanua hili ila najua Wapumbavu huwa hamkosekani duniani.

Endelea / Endeleeni tu Kuota na Kuhisi na hata kudhani kuwa Mightier Mimi ndiyo GENTAMYCINE.

Kichwa changu cha Habari sijasema niliye na Maono bali nimejumuisha wenye Maono na ungekuwa tu na Akili ambazo kwa bahati mbaya huna pamoja na Wapumbavu Wenzako wala usingesema kuwa Mimi ni GENTAMYCINE bali ungeelewa tu kuwa kwa Kauli hiyo nimewajumuisha wale Members wote ambao walishayasema hapa JamiiForums Mapungufu ya Mchezaji Bernard Morrison hata siyo Mimi Mightier niliyesema.

Inaonyesha huyo GENTAMYCINE amewakojoleeni wengi mno hapa kiasi kwamba mnampenda na mnafarijika sana Kumtajataja na Kumhisi kuwa ni Yeye katika kila ID hapa kwa Hoja yako ( yenu ) ya Kipumbavu kuwa ana Uandishi unaofanana.

Hivi tunapokuwa hapa JamiiForums tunatakiwa kila Mtu kutumia aina yake ya Uandishi na kama akiandika kama Member mwingine ndiyo justification kuwa ni Yeye huyo huyo na kwamba ana Mulitiple ID"s?

Washamba, Wapuuzi na Wanafiki wakubwa.

Cc: mtu chake, Frustration, Ochumeraa, ukikaidi utapigwa2, KAGAMEE

Nanukuu "Wenye maono ya Mungu tuliposema...........".
Unaona hapo kwenye kichwa cha habari umejijumuisha na wewe mwenyewe.
 
Nimeshalifafanua hili ila najua Wapumbavu huwa hamkosekani duniani.

Endelea / Endeleeni tu Kuota na Kuhisi na hata kudhani kuwa Mightier Mimi ndiyo GENTAMYCINE.

Kichwa changu cha Habari sijasema niliye na Maono bali nimejumuisha wenye Maono na ungekuwa tu na Akili ambazo kwa bahati mbaya huna pamoja na Wapumbavu Wenzako wala usingesema kuwa Mimi ni GENTAMYCINE bali ungeelewa tu kuwa kwa Kauli hiyo nimewajumuisha wale Members wote ambao walishayasema hapa JamiiForums Mapungufu ya Mchezaji Bernard Morrison hata siyo Mimi Mightier niliyesema.

Inaonyesha huyo GENTAMYCINE amewakojoleeni wengi mno hapa kiasi kwamba mnampenda na mnafarijika sana Kumtajataja na Kumhisi kuwa ni Yeye katika kila ID hapa kwa Hoja yako ( yenu ) ya Kipumbavu kuwa ana Uandishi unaofanana.

Hivi tunapokuwa hapa JamiiForums tunatakiwa kila Mtu kutumia aina yake ya Uandishi na kama akiandika kama Member mwingine ndiyo justification kuwa ni Yeye huyo huyo na kwamba ana Mulitiple ID"s?

Washamba, Wapuuzi na Wanafiki wakubwa.

Cc: mtu chake, Frustration, Ochumeraa, ukikaidi utapigwa2, KAGAMEE
Hii ni vitaaaa[emoji95]
tapatalk_1620797061762.jpg
 
Back
Top Bottom