Wenye matatizo ya kukoroma tukutane hapa, tupeane ushauri

Wenye matatizo ya kukoroma tukutane hapa, tupeane ushauri

Rick16

Member
Joined
Jul 2, 2022
Posts
47
Reaction score
187
Nina miez takriban tisa kwenye ndoa yangu lakin changamoto kubwa inayonikabil ni tatzo la kukoroma usiku, hali inayomtesa sana mke wangu kipenzi.

Tafadhali kama kuna mwenye dawa yoyote au njia yoyote ya kuzuia tatzo hli anijuze.
 
Kuna mjapani alinifundisha dawa ya kuacha kukoroma baada ya kunisikia nakoroma nilipopitiwa na usingizi kwenye gari, ni hivi kila asubuh toa ulimi nje kama unapiga mihayo mara 20 au zaidi na jioni pia, hii inasaidia kutanua misuli iliyosinyaa na kusababisha kukoroma, mimi hilo zoezi kama lilinishinda kwa atakayefanikiwa atupe mrejesho.
Asanteni
 
Pole sana.....inakera kukoroma, unaamsha waliolala 😃
 
Mi sio kukoroma naunguruma kama simba,wakasema eti sababu ni kibonge. Masharti yamenishinda siwezi kuwa kimbaumbau aisee[emoji23][emoji23]
 
pole sana aisee. ingia kwa mjomba Google lazima utapata chochote huko
 
Back
Top Bottom