Wenye matatizo yafuatayo Wani-Pm


sasa kama hata simu ya maana huna zama hizi..kweli kuna usalama hapo?
 
sasa kama hata simu ya maana huna zama hizi..kweli kuna usalama hapo?


Watu wenye matatizo hawahitaji simu yangu, wanachohitaji ni kupona simu haitawasaidia kitu.
 
JF ni jukwaa huru, kama unataka kusaidia mtu/watu ni vema ukaweka wazi kila kitu ili mwenye tatizo hilo aweze kujisomea mwenyewe!!
 
JF ni jukwaa huru, kama unataka kusaidia mtu/watu ni vema ukaweka wazi kila kitu ili mwenye tatizo hilo aweze kujisomea mwenyewe!!


Ni kweli. lakini suala la mchanganyo linahitaji umakini na uzoefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…