Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Jamani wenye mitandao mmezidi kuturundikia SMS za matangazo na promosheni zenu zisizokoma mpaka usiku wa manane.Yaani kwa siku unaweza kupokea SMSs kama 5+, kwa maana hiyo ukiwa na SIM card nyingi ndio unaongeza kero.
Watumiaji tunahitaji kuwasiliana ili kufanikisha shughuli zetu za kila siku siyo bughudha za ku-persuade adverts ambazo zingine ni usaniii tu aka wizi.
TUPUNGUZIENI KERO.
Watumiaji tunahitaji kuwasiliana ili kufanikisha shughuli zetu za kila siku siyo bughudha za ku-persuade adverts ambazo zingine ni usaniii tu aka wizi.
TUPUNGUZIENI KERO.