Wenye mitandao mnatukera na meseji zenu za matangazo

Wenye mitandao mnatukera na meseji zenu za matangazo

Ulimakafu

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2011
Posts
31,248
Reaction score
13,244
Jamani wenye mitandao mmezidi kuturundikia SMS za matangazo na promosheni zenu zisizokoma mpaka usiku wa manane.Yaani kwa siku unaweza kupokea SMSs kama 5+, kwa maana hiyo ukiwa na SIM card nyingi ndio unaongeza kero.

Watumiaji tunahitaji kuwasiliana ili kufanikisha shughuli zetu za kila siku siyo bughudha za ku-persuade adverts ambazo zingine ni usaniii tu aka wizi.

TUPUNGUZIENI KERO.
 
Sijui nani kawadanganya . wanakera sana na hizi matangazo zao na sms zao.
Ninaimani ikitokea kampuni itakayokuwa haina kero za aina hii watu wote tutahamia huko.

Nachukia hizi meseji nazichukia mnomno!
 
kweli wanaboa kila hasa haya ya bahati nasibu then wanakata fedha nyingi
Jamani wenye mitandao mmezidi kuturundikia SMSs za matangazo na promosheni zenu zisizokoma mpaka usiku wa manane.Yaani kwa siku unaweza kupokea SMSs kama 5+,kwa maana hiyo ukiwa na SIM card nyingi ndio unaongeza kero.Watumiaji tunahitaji kuwasiliana ili kufanikisha shughuli zetu za kila siku siyo bughudha za ku-persuade adverts ambazo zingine ni usaniii tu aka wizi.TUPUNGUZIENI KERO.
 
nini kutuma sms wana tabia ya kupiga simu, umekaa unasubiri dili la maana, simu inaita unairukia ukipokea unakuta tangazo la kaka na dada sijui wanatokeana au ndo wanachati kero tuuuupu
Yaani nimekereka mpaka uzalendo umenishinda kwa kweli.
 
wanabore saaaana
unakuta umelala unasikia simu
unadhani jambo la maana
unakuta matangazo ya kipuuzi
aghhhhhh
 
Kmbe ndo maana perfomance ya mtandao inakua hafifu kisa kujaza mitangazo yao.
 
Ni heri kama wangeacha matangazo yabaki kuonekana unapouliza salio & kwenye cell Info Display yapokezane na taarifa za minara maana ukiyachoka unaswitch off, huyaoni tena kuliko sasa. Na matangazo haya naamini hayamo katika Vigezo na Masharti (Terms and Conditions).
 
ofcourse inji imwuzwa
mara mafuta watu wachache watubanie
umeme uspimie lool
juzi wamesema ndiooooooooooooooooo
leo makali ya umeme mara mbili juu
kuliko zamani haki ya mungu naichukia
hii nji kwa sasa



Nimeipenda avarta yako inaujumbe mzito
 
Ni heri kama wangeacha matangazo yabaki kuonekana unapouliza salio & kwenye cell Info Display yapokezane na taarifa za minara maana ukiyachoka unaswitch off, huyaoni tena kuliko sasa. Na matangazo haya naamini hayamo katika Vigezo na Masharti (Terms and Conditions).

Mimi naomba mnisaidie mbali na hayo matangazo lkn pia nimechoka kuibiwa hela yenyewe naitafuta kwa mbinde. Mfano leo mchana nilikuwa na sh 14056/ kufika jioni naangalia salio nakutana na sh 178/ na sijapiga simu wala kutuma sms au siku hiz ukipigiwa cm pia wanacharge? Nie Tigo mbona ni wezi sana. Naombeni msaada wa kisheria nikashtaki wapi warudishe hela zangu manake hii si mara ya kwanza
 
Jamani wenye mitandao mmezidi kuturundikia SMS za matangazo na promosheni zenu zisizokoma mpaka usiku wa manane.Yaani kwa siku unaweza kupokea SMSs kama 5+, kwa maana hiyo ukiwa na SIM card nyingi ndio unaongeza kero.

Watumiaji tunahitaji kuwasiliana ili kufanikisha shughuli zetu za kila siku siyo bughudha za ku-persuade adverts ambazo zingine ni usaniii tu aka wizi.

TUPUNGUZIENI KERO.

naunga hoja mkono hasa hawa eatel na namba yao hii +15656 kwa cku napokea sms karibu kumi wanakera sana!!!!!!!!!!!!!!!
 
Jamani wenye mitandao mmezidi kuturundikia SMS za matangazo na promosheni zenu zisizokoma mpaka usiku wa manane.Yaani kwa siku unaweza kupokea SMSs kama 5+, kwa maana hiyo ukiwa na SIM card nyingi ndio unaongeza kero. <br />
<br />
Watumiaji tunahitaji kuwasiliana ili kufanikisha shughuli zetu za kila siku siyo bughudha za ku-persuade adverts ambazo zingine ni usaniii tu aka wizi.<br />
<br />
TUPUNGUZIENI KERO.
<br />
<br /
Kweli mkuu umenena maana unaweza kuwa uko shughuli muhimu mara unasikia mlio wa sms unakimbilia kumbe inahusu mitandao
 
Kama ukiwa ndo una browse mara sms unakata page yako ukaisome mara unakuta matangazo yao. Dah huwa nnachukia mpaka basi. Mi cjawai shiriki chochote lakini balaa hawaachi.
 
naunga hoja mkono hasa hawa eatel na namba yao hii +15656 kwa cku napokea sms karibu kumi wanakera sana!!!!!!!!!!!!!!!
Yaani mkuu hawa wanatakiwa kuwa na strategy mpya ya biashara,hii inaudhi sana.
 
Mimi naomba mnisaidie mbali na hayo matangazo lkn pia nimechoka kuibiwa hela yenyewe naitafuta kwa mbinde. Mfano leo mchana nilikuwa na sh 14056/ kufika jioni naangalia salio nakutana na sh 178/ na sijapiga simu wala kutuma sms au siku hiz ukipigiwa cm pia wanacharge? Nie Tigo mbona ni wezi sana. Naombeni msaada wa kisheria nikashtaki wapi warudishe hela zangu manake hii si mara ya kwanza
Tigo mimi nilishagombana nao sana mpaka wakanirudishia salio,baada ya kumuona boss wao pale Majani ya chai.
 
Jamani wenye mitandao mmezidi kuturundikia SMS za matangazo na promosheni zenu zisizokoma mpaka usiku wa manane.Yaani kwa siku unaweza kupokea SMSs kama 5+, kwa maana hiyo ukiwa na SIM card nyingi ndio unaongeza kero.

Watumiaji tunahitaji kuwasiliana ili kufanikisha shughuli zetu za kila siku siyo bughudha za ku-persuade adverts ambazo zingine ni usaniii tu aka wizi.

TUPUNGUZIENI KERO.

Biashara matangazo.
Mzee ulikatishwa uhondo nini ukajua sms ya dili kumbe tangazo.
 
Back
Top Bottom