Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We acha tu mkuu....Tena kama hawa TIGO hawaaa mfyuuuuu, wananikera sana. Yaani kuna wakati nasubiria sms ya pesa halafu ninaona sms ya TIGO pesa, ukifungua nakutana na meseji yao: Hamisha......
mfyuuuuuu. halafu nilishawahi kuuuliza hivi wenyewe huwa hawana a/c hapa JF kama walivyo TANESCO, NMB, DAWASCO na wengineo?
pesa ni mpesaaaa
hahaha mie siku mojs ksribu nivunje ssimunini kutuma sms wana tabia ya kupiga simu, umekaa unasubiri dili la maana, simu inaita unairukia ukipokea unakuta tangazo la kaka na dada sijui wanatokeana au ndo wanachati kero tuuuupu
Hahahhahahaha mie siku mojs ksribu nivunje ssimu
Hahahha
Pole
Siju iz wanakupigia na kukushawishi ujiunge na 4g au kuelezwa ofa za vifurushi dstv
Kwa kweli Hawa watu ni kero. TCRA ilipiga marufuku hizi msg na zile zilizokuwa zinaanza kwenye miito ya Simu. Tatizo nadhani hawafuatilii. Kuna haha ya ku-file complaints dhidi ya hawa watu. Wanaogopa kuweka mabango ya matangazo, wanageuza Simu zetu kuwa mabango yao.Jamani wenye mitandao mmezidi kuturundikia SMS za matangazo na promosheni zenu zisizokoma mpaka usiku wa manane.Yaani kwa siku unaweza kupokea SMSs kama 5+, kwa maana hiyo ukiwa na SIM card nyingi ndio unaongeza kero.
Watumiaji tunahitaji kuwasiliana ili kufanikisha shughuli zetu za kila siku siyo bughudha za ku-persuade adverts ambazo zingine ni usaniii tu aka wizi.
TUPUNGUZIENI KERO.
Pole. Ila ni nani huyo kakuzuia usihamie mtandao mwingine?Nakereka sana na hizi meseji zenu kila baada ya dakika mnatuma kiukweli ingekuwa inawezekana kusajili line nyingine ningefanya hivyo na kuepukana na hizi kero.
Kila baada ya dakika 15 mnatuma meseji zenu kwa kutumia namba 15670 au 15671.
Acheni huu utaratibu; mnakera sana. Ingekuwa inaruhusiwa kusajili line nyingine ningefanya hivyo kuepuka hizi kero. Mbona wenzenu Halotel hawana huu usumbufu?
Mnaweza tuma meseji moja tu ya matangazo kwa siku, sio mbaya. Lakini nyie kila dakika 15 meseji mnatuma kwa 24 hours.
Badilikeni, mnaboa. Mwambieni huyo aliyeshauri huu mpango kuna baadhi ya wateja unatukera.
View attachment 1492832