Wenye mna roho fuateni link muone vile Marekani waliwafanya nyama choma Al-Shabab jana huko Somalia.

Status
Not open for further replies.
kuna alshabaab mmoja akona machungu sana[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi mbona unaonekana umechukia sana,Alshabab ni wajomba zako?
 
Nimeona comments zako nyingi ukiwasapoti hawa mashaito. Bila shaka wewe ni mmoja wao.ushindwe kabisa.pepo chafu.
 
Umeziona wapi???
Na walivo na hasira kubabake lazima waje wazae na nyie.
Shetani mkubwa wewe. Tanzania intelligence waanze kukufanyia uchunguzi. Utakuwa Shababi aliyekwenda Somalia kupata mafunzo. Watanzania mjichunge na mashetani kama hawa, watawageuka hivi karibuni. Jamaa amechukizwa sana kuona Al-Shabab wakiwa nyama choma, mimi naomba tu nipewe ugali niteremshe na hio nyama choma iliyoiva kwa moto wa missile ya drone ya kiamerika. Hapana cheza na drone za America, utakuwa kitoweo shenzi wewe Shabab sympathizer.
 
He must be a member of an alshabaab cell in tanzania, remember the suicide bomber was in exile in tanzania for some time, huyu achunguzwe kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kweli ashki Majunun [emoji15] [emoji12] watu weshakuwa jivu watavamiaje tena [emoji350] [emoji348] [emoji348] akili yako ipo kama huyu [emoji117]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…