Wenye mna roho fuateni link muone vile Marekani waliwafanya nyama choma Al-Shabab jana huko Somalia.

Wenye mna roho fuateni link muone vile Marekani waliwafanya nyama choma Al-Shabab jana huko Somalia.

Status
Not open for further replies.
Kwa wale ndugu zangu wa free basics picture hizo hapo!!!
ec9521484ca9dbd29c34623e63d75858.jpg
24473cdad2431caafe55e92ea5031fa7.jpg
14c5dd1cbfea707794adb1e8abb02932.jpg
46b9d07df48c33e8928688380bb103ae.jpg


Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Kwa wale wa free basics picture hizo hapo!!!
ec9521484ca9dbd29c34623e63d75858.jpg
24473cdad2431caafe55e92ea5031fa7.jpg
14c5dd1cbfea707794adb1e8abb02932.jpg
46b9d07df48c33e8928688380bb103ae.jpg


Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Hawa hii ndio dawa yao,wao wanapigana guerilla war,vita ya kuvizia,street to street,hutakiwi kupereka jeshi,Alshababy sio conventional army,jeshi rasmi,ni kikosi tu kisicho hata na uniform maalum,hawafati rules of engagement za conventional warfare.
Kupambana nao hawa,inabidi na wewe uwe kama wao,kisaikolojia,na kimbinu,usipereke watu wamevaa combat,na hamvee kibao,zama ndani kama mwizi,winda watu mtaa kwa mtaa,
Inahitaji intellijensia Kali,pereka watu wenye asili ya somalia,au wanaojua lugha yao.wawinde kama swala walipojificha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magaidi huwa wanaweza kusahau mambo yote Ila sio kulipiza kisasi

Kisasi chake huwa Ni breaking news ya Dunia

'Mtu anaeua Na kubaka mama, Dada Na Ahli zako hawezi kuacha kufanya hivyo kwa kuandamana, kuchoma bendera Za Nchi yao au kwa kufanya Midahalo ya kulaani'

Hakikisha na wao wanafuta Machozi Kama mnavyofuta Nyie, watoe miili ya ndugu zao Kwenye vifusi Kama mnavyotoa nyie...'- Abubakar Shakau

Ni lugha Za kichochezi Na hazifai lakin Zina ujumbe muhimu Na wa wazi Kama ni mwenye kutafakari
 
Ta
Magaidi huwa wanaweza kusahau mambo yote Ila sio kulipiza kisasi

Kisasi chake huwa Ni breaking news ya Dunia

'Mtu anaeua Na kubaka mama, Dada Na Ahli zako hawezi kuacha kufanya hivyo kwa kuandamana, kuchoma bendera Za Nchi yao au kwa kufanya Midahalo ya kulaani

Hakikisha na wao wanafuta Machozi Kama mnavyofuta Nyie, watoe miili ya ndugu zao Kwenye vifusi Kama mnavyotoa nyie...'- Abubakar Shakau

Tatizo ni wajinga

Upigwe na wanajeshi

Ukalipe sokoni ambako hawajuwi lolote. Watoto, wanawake nk

Nawachukia sababu husabisha maafa kwa RAIA wema wasio na hatia na wasiojuwa lolote
 
Ta


Tatizo ni wajinga

Upigwe na wanajeshi

Ukalipe sokoni ambako hawajuwi lolote. Watoto, wanawake nk

Nawachukia sababu husabisha maafa kwa RAIA wema wasio na hatia na wasiojuwa lolote

Hao Wanajeshi wanaua Mama wa Magaidi Na Magaidi wanakuja kuua Mama wa Wanajeshi

Ili next time wao wakiwa bize kurehemu Mama zao Na Wewe Uwe bize kuweka Shada la Maua Na kuwasha mishumaa kumkumbuka Mama yako
 
Hao Wanajeshi wanaua Mama wa Magaidi Na Magaidi wanakuja kuua Mama wa Wanajeshi

Wanatakiwa
Kulipuwa majeshi, ofisi, miundombinu za majeshi nk

Kuenda shule ya msingi kujilipuwa nakuangamiza vitoto sio sawa hawajuwi lolote

Au kuenda stendi ya basi kujilipuwa nakuwa wasafiri sio sawa hawajuwi lolote

Ni ujinga kulipa kisasi kwa wasio na hatia
 
Ta


Tatizo ni wajinga

Upigwe na wanajeshi

Ukalipe sokoni ambako hawajuwi lolote. Watoto, wanawake nk

Nawachukia sababu husabisha maafa kwa RAIA wema wasio na hatia na wasiojuwa lolote
Intelijensia kali inahitajika kupambana na magaidi kwa sababu upigaji wao ni wa kuvizia, kwa kifupi ni waoga.

Na njia nyengine nzuri ya kudili nao ni kuua ndugu zao hadi wazazi wao kama wapo hai. Ikiwezekana koo zao nazo mnaziua ili nao wajue uchungu wa kuuwa kwa wapendwa wao.
 
Wanatakiwa
Kulipuwa majeshi, ofisi, miundombinu za majeshi nk

Kuenda shule ya msingi kujilipuwa nakuangamiza vitoto sio sawa hawajuwi lolote

Au kuenda stendi ya basi kujilipuwa nakuwa wasafiri sio sawa hawajuwi lolote

Ni ujinga kulipa kisasi kwa wasio na hatia

Next time ukienda kuua Mama Mama wa Mwenzio ujue Mama yako Pia yupo hatari ni kufa
 
Wewe unaongea nini?

Magaid huuwa RAIA wasio na hatia. Nani huenda kuuwa mama wa magaidi?

Mbona unaroho ya mauwaji ndugu.
Madege Yale yanayobeba Makombora Na kwenda Middle East yanaenda kuangamiza Mitende Na ngamia?
Wazungu wameshajua athari zake ndio sababu sasa hawataki Nchi zao kwenda Tena kuua wengine ili nao waishi salama


Kwanini Japan haishambuliwi Na Magaidi ?
 
Dah hio laana ya mama yako inakutafuna kweli mana sio kwa mawazo haya ya kuwawish wengine wafe..utakufa wewe kwanza
Nyama choma wapi, yaani mnategemea marekani ndio aje awakingie mgongo dhidi ya wavaa ndala. Hivi majeshi yenu yote yanafanya kazi gani kubabake zenu!!!

Natamani siku alshabaab waje wavamie nyumba kwa nyumba Nairobi nzima wawapige ukuni katikati ya makalio.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Madege Yale yanayobeba Makombora Na kwenda Middle East yanaenda kuangamiza Mitende Na ngamia?
Wazungu wameshajua athari zake ndio sababu sasa hawataki Nchi zao kwenda Tena kuua wengine ili nao waishi salama


Kwanini Japan haishambuliwi Na Magaidi ?

Naona tupo level mbili tofauti

Yaani wewe ukipigwa na jirani unaenda kuuuwa mwanae wa nursery school kama kiasi?

Utakuwa gaid sio bure
 
Ukipigwa na jambazi kapambane najambasi sio kuenda kuuwa vitoto vya jambazi totally unfair. Hawajuwi chochote na hawana hatia

Kufanya hivyo kunadhihilisha ujinga wakifikra 100%
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom