Wenye ndoto za kwenda Marekani au Ulaya, pesa zipo lakini kwenye suala la wanawake mtapata taabu sana. Nchi yetu ni pepo ya mapenzi, tatizo ni uchumi

Wenye ndoto za kwenda Marekani au Ulaya, pesa zipo lakini kwenye suala la wanawake mtapata taabu sana. Nchi yetu ni pepo ya mapenzi, tatizo ni uchumi

gearbox

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2024
Posts
563
Reaction score
1,768
Marekani / ulaya / Australia / Canada yani kwa ufupi nchi za wazungu kuna ajira nyingi sana, kupata pesa ni juhudi zako tu, ni kawaida kukuta mtu anafanya kazi za kipato cha chini zisizohitaji elimu ya chuo mfano kazi za kwenye ma godown malipo elf 40 kwa saa, Tatizo la wenzetu wamekuwa walalamikaji sana hasa wamarekani weusi unaweza kumkuta yupo na hii kazi anajirekodi ndani ya gari kwamba maisha ni magumu, Serious !! hivi akiletwa bongo huyu atasemaje !!

Kwa wenye elimu wanapiga pesa nyingi mno, mfano kazi za IT wanalipwa milioni 20 kwa mwezi baada ya makato, manesi (ni kawaida kukuta wanaume) wanakunja milioni 10 kila mwezi baada ya makato, n.k.

Pesa zipo lakini shida inapokuja ni kwenye suala la wanawake wa huko.

Kuhusu mabinti wa kimarekani wana taratibu zao, mila zao na walivyokuzwa lazima mtapishana maana malezi yao ni tofauti na yetu, Wanawake wengi wamekuzwa kwenye mazingira ya kuwaamnisha wao ndio viongozi wa familia, Mwanaume hana kauli juu yao, huruhusiwi hata kumfinya ukijaribu tu polisi wapo mlangoni hupewi nafasi hata ya kujitetea unapewa kesi ya domestic violence, hali hii ni tofauti sana na malezi yetu ya bongo ambayo Baba ndo kichwa cha familia. Yani ni kwamba kuishi na wanawake wa huko inabidi ujishushe ama awe kakuelewa sana ndio unaweza kuishi nae kibongo.

Mbadala wa kuoa mbongo muende kuishi Marekani (Importation), Hawa wadada ukiwatoa kutoka Bongo wakishafika Marekani wakapazoea ni kama wanakuwa wamefunguliwa minyororo, wengi hubadilika na kuanza kuwapelekesha wanaume baada ya kuyazoea mazingira ya huko yanayowapa nguvu kubwa juu ya wanaume na jamii, serikali, tamaduni inawapa sapoti kubwa sana na hata dini haina nguvu kuingilia hayo mambo. ni tofauti kabisa na bongo ambayo tamaduni zetu, jamii, dini zinawalazimu wanawake kuwa chini ya wanaume.

Wanawake wa huko hujua Wanaume Toka Afrika ni wachapa kazi na watafuta pesa, wanawake hujirahisisha na hujitosa kwenye mahusiano na kuoana, akizaa watoto wawili au watatu anaangalia kipato chako ili akikubwaga apate pesa nyingi za child support na kupora Mali zako kama ulinunua nyumba au kujenga ulaya na marekani mgao unahusu kama ana watoto nyumba inaondoka unakuwa homeless au ukapange huko


Child Support - Si kama huku bongo kwamba utampa binti uja uzito kisha serikali inakuambia umpe laki 1 kila mwezi, kule ni uwanja tofauti kabisa, Ni kawaida kwa mtu mwenye kipato cha chini kuamuriwa kulipa milioni 2 kila mwezi "kwa mtoto moja", kina mama wengi hasa wamarekani weusi na waafrika wanaohamia wanatumia mbinu hii kupata pesa za kujikimu,

DIVORCE - ni tatizo kubwa sana kwa hizo nchi, Utafiti uliofanyika ni kwamba nusu ya ndoa zote wanandoa huachana, Kwa waafrika hali ni mbaya zaidi !! ndoa hazipo stable sababu mwanamke ana nguvu sana inafikia kipindi wanaume wanachoka, wanawake wanaotaka kuishi kwa child support, n.k.

Kwa wale wawinda makaratasi wa kutafuta uraia kupitia kuoa ulaya au marekani beware muwe makini !! Anavizia tu Kona nzuri akupige urudi mikono mitupu kama ulivyotoka Tanzania, Nenda Arusha utapata story kibao a watu waliorudi mikono mitupu ama kukimbia kabisa.

Kwa wale wadau waliozoea kulipa madada poa elf 10 waende kulala nao, hali ni tofauti Marekani, hizi huduma zipo lakini ni bei mbaya sana, Kwa usiku moja ni laki 3+, ni starehe yenye gharama ndio maana marapper hujisifu kuwa na magari ya bei, nyumba za kifahari na malaya, ni wana bei mbaya.
 
Marekani / ulaya kuna ajira nyingi sana, kupata pesa ni juhudi zako tu, ni kawaida kukuta mtu anafnya kazi za kipato cha chini zisizohitaji elimu ya chuo kwenye godown analipwa elf 40 kwa saa anajirekodi akiwa ndani ya gari kwamba maisha ni magumu, kulalamika anakosa mda wa kupumzika anaamka kila siku kufanya kazi masaa nane, mafuta yamepanda bei, n.k. kwetu bongo tunbaki kumshangaa tu.


Kuhusu mabinti wa kimarekani wana taratibu zao, mila zao na walivyokuzwa lazima mtapishana maana malezi yao ni tofauti na yetu, Wanawake wengi wamekuzwa kwenye mazingira ya kuwaamnisha wao ndio viongozi wa familia, Mwanaume hana kauli juu yao, Mwanaume huruhusiwi hata kumfinya ukijaribu tu polisi wapo mlangoni unapewa kesi ya domestic ciolence, hali hii ni tofauti sana na malezi yetu ya bongo ambayo Baba ndo kichwa cha familia.


Kuoa mbongo muende kuishi Marekani (Importation), Hawa wadada ukiwaleta kutoka Bongo wakishafika Marekani wakapazoea, wengi hubadilika na kuanza kuwapelekesha wanaume kama baiskeli isiyo na breki baada ya kuyazoea mazingira ya huko yanayowapa nguvu kubwa kuzidi wanaume,ni tofauti kabisa na bongo kwenye tamaduni zinawalazimu wanawake kuwa chini ya wanaume.

Mazingira yanayowapa kipaumbele wanawake - Marekani / Ulaya mwanamke anatukuzwa sana, Huruhusiwi hata kumfinya ukijaribu tu polisi wapo mlangoni kesi ni domestic violence, Mnaweza kulewa wote lakini mwanamke ana haki ya kulalamika kabakwa kwasababu alikuwa hajitambui watu kibao ni wahanga wa hizi kesi, n.k.

Child Support - Si kama huku bongo kwamba utampa binti uja uzito kisha mama yake umpe laki 1 kila mwezi, kule ni uwanja tofauti kabisa, watu huwa wanafanya sherehe wakimaliza kulipa child support, Ni kawaida kwa mtu mwenye kipato cha chini kuamuriwa kulipa milioni 2 kila mwezi "kwa mtoto moja", kina mama wengi hasa wamarekani weusi na waafrika wanaohamia wanatumia mbinu hii kupata pesa za kujikimu,

DIVORCE - ni tatizo kubwa sana kwa marekani, Utafiti uliofanyika ni kwamba nusu ya ndoa zote wanandoa huachana, ndoa hazipo stable sababu mwanamke ana nguvu sana inafikia kipindi wanaume wanachoka, wanawake wanaotaka kuishi kwa child support, n.k.

Madada poa wapo lakini wana bei mbaya sana, Kwa usiku moja ni laki 3
Mimi nitawaadhibu kwa kuwakaza tu
 
Toa basi na mchongo wa kufika USA sasa.

Tafuta kwanza vitu hivi
  • Vyeti vya kuonyesha unaweza kuongea kiingereza, (utaishi vipi sehemu bila kuijua lugha ?)
  • Hakikisha una bank statement
  • Hakikisha una ushahidi kwamba huku bongo una ties (cheti Cha ndoa, vyeti vya watoto, mikataba ya biashara, n.k)
  • Hakikisha una passport

Baada ya hapo unaweza kutumia njia hizi

1. Elimu kama unajidhamini au una mdhamini

2. Green card lottery / bahati nasibu ya visa mtandaoni

3. Hii ni njia rahisi haihitaji vielezo vingi, Kwa ambao hawajaoa au kuolewa ingia dating sites tafuta mahusiano na mtu wa taifa husika unataka kwenda anzeni mahusiano, mwombe huyo mpenzi wako aje akutembelee, akifika hapa mnaridhiana mrudi wote nchini kwao mkaoane utapewa visa ya ndoa au aje mara mbili Tanzania akutembelee baada ya hapo unaweza omba visa ya uchumba kwenda marekani. hakikisha akija mnapiga picha nyingi za ushahidi pia hakikisha anatunza ticket.
 
Toa connection mkuu,,utelezi siyo tatizo mzee
Hakuna connection, Mambo yamenyooka.

Tafuta kwanza vitu hivi
  • Vyeti vya kuonyesha unaweza kuongea kiingereza (utaishi vipi sehemu bila kuijua kugha ?)
  • Hakikisha una bank statement
  • Hakikisha una ushahidi kwamba huku bongo una ties (cheti Cha ndoa, vyeti vya watoto, mikataba ya biashara, n.k)
  • Hakikisha una passport

Baada ya hapo unaweza kutumia njia hizi

1. Elimu kama unajidhamini au una mdhamini

2. Green card lottery / bahati nasibu ya visa mtandaoni

3. Hii ni njia rahisi haihitaji vielezo vingi, Kwa ambao hawajaoa au kuolewa ingia dating sites tafuta mahusiano na mtu wa taifa husika unataka kwenda anzeni mahusiano, mwombe huyo mpenzi wako aje akutembelee, akifika hapa mnaridhiana mrudi wote nchini kwao mkaoane utapewa visa ya ndoa au aje mara mbili Tanzania akutembelee baada ya hapo unaweza omba visa ya uchuma kwenda marekani. hakikisha akija mnapiga picha nyingi za ushahidi pia hakikisha anatunza ticket.
 
Hakuna connection, Mambo yamenyooka.

Tafuta kwanza vitu hivi
  • Vyeti vya kuonyesha unaweza kuongea kiingereza (utaishi vipi sehemu bila kuijua kugha ?)
  • Hakikisha una bank statement
  • Hakikisha una ushahidi kwamba huku bongo una ties (cheti Cha ndoa, vyeti vya watoto, mikataba ya biashara, n.k)
  • Hakikisha una passport

Baada ya hapo unaweza kutumia njia hizi

1. Elimu kama unajidhamini au una mdhamini

2. Green card lottery / bahati nasibu ya visa mtandaoni

3. Hii ni njia rahisi haihitaji vielezo vingi, Kwa ambao hawajaoa au kuolewa ingia dating sites tafuta mahusiano na mtu wa taifa husika unataka kwenda anzeni mahusiano, mwombe huyo mpenzi wako aje akutembelee, akifika hapa mnaridhiana mrudi wote nchini kwao mkaoane utapewa visa ya ndoa au aje mara mbili Tanzania akutembelee baada ya hapo unaweza omba visa ya uchuma kwenda marekani. hakikisha akija mnapiga picha nyingi za ushahidi pia hakikisha anatunza ticket.
Okay poa poa hebu sasa weka website za dating za kupata wachumba US.
 
Back
Top Bottom