Wenye ndoto za kwenda Marekani au Ulaya, pesa zipo lakini kwenye suala la wanawake mtapata taabu sana. Nchi yetu ni pepo ya mapenzi, tatizo ni uchumi

Kuna waziri aliwahi kosa viza. Wamarekani waone hivi hivi.
 
It may be true, lakini sijawahi kumuamin mbongo, 100%!
Hatakuambia ukweli wote,uzuri na ubaya, hata bongo ndoa zinavunjika,
Nipo UN hapa, wafanyakazi wa US wana familia zao wanaishi vzr tu, black kwa white, wapo watz wameoa wazungu hapa, wameoa black Americans, wamechukua uraia, wanapiga pesa ndefu, CPA, engineer, dokta m bongo, yupo UN bongo, kapata mke ofcn,wanaishi vzr na mikwanja mirefu tu,
 
Hapo UN huwezi kupatumia kama kioo cha maisha ya ndoa / uchumba kwenye nchi zao, wanawake wa hapo UN wapo vizuri hawana vitamaa tamaa vya pesa au mali na hata familia wanazotoka unakuta zipo vizuri, hata ikitokea mgawnyo wa mali ndoa ikivunjika au child support kibao kinaweza kuwageukia wao mwanaume akafaidika zaidi (wanawke wenye uwezo nao sheria zinawabonda), hivyo wanakuwa na adabu !!

Usiangalie ndoa kwa nyumba moja moja, angalia kwa wastani, tukianaalia moja moja hata magerezani kuna wafungwa wapo kwenye uchumba wa muda mrefu na walinzi wao, Hivyo kwaa wastani ndoa nyingi zinavunjika huko Ulaya na Marekani, uwezekano wa kuvunjika ndoa ni mkubwa.
 
Hamna uwanja wa fisi huko?
 
Kwahiyo ata MO dewji akitaka kwenda Marekani Arafat utaratibu sawa na muuza vitumbua wa Manzese?
 
Mkuu kwenye kuoa hapo unahitaji vigezo Gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…