Huo sasa ni uhuni kwa hiyo hata apartment mpagaji mmoja akikutwa na madawq ya kulevya apartment nzima itataifishwa?Wakuu,
Kama una nyumba sehemu kaa kwa chonjo kuna habari mpya huku kutoka DCEA.
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Aretas Lyimo, amewahimiza wamiliki wa nyumba za kupangisha kuwa waangalifu na wapangaji wao...
Ila ingekuwa gari ya mwananchi wa kawaida yangekuwa matangazo kila kona na gari kutaifishwa kwa mbwembwe.Na hadi leo huyo mbunge hajawahi kutajwa wala kukamatwa.
View attachment 3161119
Umemaliza kaka, kuna bodygurd wa Ex PM. Huyo alikuwa akipita nazo na kuweka kwenye jumba huko (x) hiyo nyumba kazi yake ni hiyo tu. Wangeanza na hao na wanajuana wote.Wauza unga wakubwa Ni CCM.
Kwa waxo hili bibi atapewa Tena PhD na chuo Kikuu cha Tumaini sasa.Wakuu,
Kama una nyumba sehemu kaa kwa chonjo kuna habari mpya huku kutoka DCEA.
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Aretas Lyimo, amewahimiza wamiliki wa nyumba za kupangisha kuwa waangalifu na wapangaji wao.
Alieleza kuwa baadhi ya wafanyabiashara wa dawa za kulevya wamekuwa wakitumia nyumba walizopanga kama maghala ya kuhifadhi dawa hizo, huku wao wakiishi sehemu nyingine.
Soma pia: Makonda: Ukichagua viongozi wa mtaa waaminifu wasiyojihusisha na madawa ya kulevya utaleta chachu katika ngazi hiyo
Akizungumza na waandishi wa habari leo, Novemba 25, 2024, jijini Dar es Salaam, Kamishna Jenerali Lyimo alisisitiza kuwa kwa mujibu wa sheria, mali yoyote, kama nyumba au gari, ikikutwa na dawa za kulevya, itataifishwa.
Kamishna huyo amewataka wamiliki wa mali hizo kuhakikisha wanachukua tahadhari na kusimamia vyema mali zao ili kuepuka hasara na kuhusishwa na vitendo haramu.
Source: Wasafi FM
My take:
Mbona kama kuna watu specific wanatafutwa kwa tochi kupitia agizo hili?
1. Mimi kama mwenye nyumba ntajuaje kama mtu anaweka madawa ya kulevya ndani ya nyumba? Niweke CCTV au niwe nafanya doria za kushtukiza?
2. Hiyo nyumba ikishataifishwa inapelekwa kwa nani au taasisi gani?
3. Kama inaenda kwa serikali hamuoni kwamba kuna baadhi ya vigogo serikalini wanaweza wakatumia mwanya huo kupora nyumba za watu iwapo watazipenda?
4. Huo utaratibu wenu wa kutaifisha nyumba ni watanzania pekee au ni utratibu wa kimataifa? Ni mataifa gani yana utaratibu kama huo?
5. Hiyo sheria ya kutaifisha nyumba ambayo sio ya mtuhumiwa ipo kwenye ibara gani kwenye Katiba yru ya inchi?
Exactly, you most likey can’t prove it, na ndio maana hujawahi sikia mtu nyumba yake imetaifishwa kisa mpangaji alikuwa anauza madawa..How can you prove that awareness?
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imesema imebaini kuwa Wahusika wa biashara haramu ya dawa za kulevya hutumia mbinu ya kupanga nyumba ambazo zinageuzwa kuwa maghala ya kuhifadhia dawa za kulevya, huku wao wakishi katika maeneo mengine.
Akiongea Jijini Dar es salaam leo November 25,2024, Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Aretas Lyimo, amesema "Mamlaka inatoa rai kwa Wamiliki wa nyumba kuwa makini wanapopangisha nyumba zao, kwani nyumba inayotumika kwa shuguli za dawa za kulevya ni kinyume cha sheria na inaweza kutaifishwa"
"Sheria ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za
Kulevya, Sura ya 95, imeweka katazo kwa Mmiliki au Msimamizi wa nyumba, Msimamizi wa eneo au chombo cha usafirishaji kuruhusu vitumike wa lengo la kutengeneza, kuvuta, kujidunga, kuuza au kununua dawa za kulevya"
"Mmiliki anapojua kuwa kosa linatendeka kwenye eneo lake, anajukumu la kutoa taarifa kwa Mamlaka, kushindwa kufanya hivyo ni kosa la jinai, na akitiwa hatiani, adhabu yake inaweza kuwa faini kuanzia shilingi milioni tano hadi milioni hamsini, au kifungo cha miaka mitano hadi miaka thelathini jela, au vyote kwa pamoja"
hapo sasa labda mwenye nyumba nae awe anaishi humo pamoja na wapangaji wake na sheria hii inafaa sana kwa zile nyumba za kupanga chumba kimoja kimoja huku mitaani..ila zile full zenye fensi na mageti hiyo ukishapangisha hauna mamlaka nayo tena mpaka mwisho wa mkataba maana ni ngumu kumbana uliyempangisha ..ila wafanya maamuzi wa nchi hii wanasikitisha sanaAcha kupotosha, umeleta habari nusu kwa makusudi. Ameeleza kwamba ni endapo mwenyenyumba alikuwa anafahamu na hakuripoti.., sasa hapo utaprobe vipi mwenye nyumba alikuwa anafahamu?
Umemaliza kaka, kuna bodygurd wa Ex PM. Huyo alikuwa akipita nazo na kuweka kwenye jumba huko (x) hiyo nyumba kazi yake ni hiyo tu. Wangeanza na hao na wanajuana wote.
Kuna msanii, rafiki yake alidakwa na dawa, yuko ndani. Yeye sasa anaendeleza. Hao wote wanashabikia ccm, huoni wakibughudhiwa. Kama mtoa mada anavyosema, kuna mtu anatafutwa na nyumba zake.