Kinaongea ongea sana hiki kidemu.Wewe ni mwanamke, punguza kuongea-ongea kila muda
Hata kama unakifiria unajikuta unapita pembeni tuKinaongea ongea sana hiki kidemu.
CPA...ati unakifanya nini? 😳😳😳Hata kama unakifiria unajikuta unapita pembeni tu
Hii sio special, unaweza hata kesho ukaamka kama mimi chance ndoto, tukaenda chukua kwa m5. Kuifanya iwe special labda uwe kitu maarufu au uwe raisi , ambaye hata samia au magufuli hayo unaweza andika. Sijui ifanyajeIkitokea plate number ya mzabzab nitaarifu nikaichukue niweke kwenye boxer yangu
Utarudishaje hela yako within a month kwa kuwa na namba special?Hii sio special, unaweza hata kesho ukaamka kama mimi chance ndoto, tukaenda chukua kwa m5. Kuifanya iwe special labda uwe kitu maarufu au uwe raisi , ambaye hata samia au magufuli hayo unaweza andika. Sijui ifanyaje
Ila special ziko hizo 17 tu.
And umuhimu wa hizo. Ulichukua wallahi, within a month unarudisha hela yako.
Najua siyo kada yako and you aren't interested in such thing ila nikueleze. Yale majina haswa uchukuliwa na watu wa makampuni, watu muhimu na taasisi zinazotaka kujitofautisha. Yaani huo mnada si wa kila mtu, mfano wewe huelewe chchte kinachoendelea hivo hazikuhusu.Utarudishaje hela yako within a month kwa kuwa na namba special?
Sio laana mkuuusijipe laana, waliopo wana macho mangapi?
Najua siyo kada yako and you aren't interested in such thing ila nikueleze. Yale majina haswa uchukuliwa na watu wa makampuni, watu muhimu na taasisi zinazotaka kujitofautisha. Yaani huo mnada si wa kila mtu, mfano wewe huelewe chchte kinachoendelea hivo hazikuhusu.
Ni uwekezaji kwa maana ukiichukua itakusaidia kutambulika kirahisi, yaani wote wataopata hizo namba wana proviledge kubwaaaa saaaana. Saaaana. Mtafute tu aliyeandika jina lake , achana na hizi utajua faida yake. Within a month ww kufunga 30 to 40m ni mchezo kama wakupuliza kuni moto uwake.
Unavuta msubaJaman iyo tembo kondeboy achukue inamfaa Kwa kweli bomboclat
Maskini huwa hana plate numberAll in all kila lakheri. Siwezi uziwa jina Mil 15 wakati bei yake ni Mil 5.
Hapo sasaShida ni yakiongezeka yanaenda wapi?
Wewe ni miongoni mwa watanzania wenye kejeli na hamna kitu, ilimradi muonekane mnahela humu jf. Mbwa mmoja tu ww
Umetupitisha chocho kama tunafka iv kumbe bdo. Kiufup bado hatujaelewa mkuu.Najua siyo kada yako and you aren't interested in such thing ila nikueleze. Yale majina haswa uchukuliwa na watu wa makampuni, watu muhimu na taasisi zinazotaka kujitofautisha. Yaani huo mnada si wa kila mtu, mfano wewe huelewe chchte kinachoendelea hivo hazikuhusu.
Ni uwekezaji kwa maana ukiichukua itakusaidia kutambulika kirahisi, yaani wote wataopata hizo namba wana proviledge kubwaaaa saaaana. Saaaana. Mtafute tu aliyeandika jina lake , achana na hizi utajua faida yake. Within a month ww kufunga 30 to 40m ni mchezo kama wakupuliza kuni moto uwake.