Wenye pesa zao, haya fahari ya macho hiyo zitambue peni za gharama duniani, achana na Biki na Cello

CONTROLA

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2019
Posts
7,001
Reaction score
23,449
Kama ni pesa nakubali watu wana pesa dunia hii, hivi kabisaaa mimi naenda kununua peni kwa hela bei hizi? Labda siwezi jua huko mbeleni.

Ilaa kwa sasa acha niendeleee tu kuziangalia kama hivi na kusoma soma watu wanavyozitumia, ila maamuzi magumu ya namna hii bado sijayafikia.
 
Usibishe Sana. Shetwani akiamua lake hashindwi utanunua tuu ukizikamata fweza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…