Wenye pikipiki wateka mamia Nigeria

Wenye pikipiki wateka mamia Nigeria

Naona buhari alivyokataa wewe na Boko haram mlishangilia sana siku hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani angekubali ingekuwa nini.Buhari kwa hapo alikwishaangalia matokeo ya waliosaidiwa kabla huko Mali na Chad kutoka wafaransa na Afghanistan na Pakistan kutoka Marekani.
Kwa vile wewe unaupenda sana ugaidi uendelee ndio maana unamlaumu Muhamad Buhari kwa kukataa msaada wa Uiengereza.
 
Kwani angekubali ingekuwa nini.Buhari kwa hapo alikwishaangalia matokeo ya waliosaidiwa kabla huko Mali na Chad kutoka wafaransa na Afghanistan na Pakistan kutoka Marekani.
Kwa vile wewe unaupenda sana ugaidi uendelee ndio maana unamlaumu Muhamad Buhari kwa kukataa msaada wa Uiengereza.
Hapa tunaongelea uingereza wewe unaleta mifano ya Marekani na ufaransa...basi toa na mifano ya Kenya kwenda Somalia....m

Swali la kujiuliza ni je! kutokea buhari akatae, ugaidi umepungua au umeongezeka??
Sasa jibu la hapo ndo furaha yako wewe na Boko haram

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila Nigeria ule upande wa waislamu wa kaskazini una shida sana
Kote kuna shida

Upande wa kusini mwa Nigeria ambako ndio kwa wakristo kuna uhalifu mkubwa sana sana mno ,ujambazi,utekaji nyara,mauaji ya imani za kishirikina n.k katika viwango vikubwa vya kutisha
 
Haya maswali tukuulize wewe maana utakuwa una namba za viongoz wa Boko haram

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nina shaka nimesema hapo juu.Vipi unataka nijibu maswali. Haya maswali nimeyaweka yajibiwe.
Wewe mwenye uhakika Boko Haram wapo na ndio walioteka itakuwa unajuwa zaidi.Akili inaonesha mwenye kujuwa kitu kama hiki atakuwa yuko karibu na uongozi kuliko mwenye shaka.
 
Mimi nina shaka nimesema hapo juu.Vipi unataka nijibu maswali. Haya maswali nimeyaweka yajibiwe.
Wewe mwenye uhakika Boko Haram wapo na ndio walioteka itakuwa unajuwa zaidi.Akili inaonesha mwenye kujuwa kitu kama hiki atakuwa yuko karibu na uongozi kuliko mwenye shaka.
ila unaibisha wenzako na maswali yako ya kitoto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo tena tumepata kali ya kufungia mwaka huko Katsina jimbo alilozaliwa raisi wa sasa wa Nigaria mheshimiwa Muhammad Buhari ambaye kwa sasa yuko mapumzikoni jimboni kwao.

Inadaiwa watu waliopanda piki piki waliivamia shule ya mchepua wa Sayansi na kufyatua bunduki hewani halafu wakaondoka na zaidi ya wanafunzi 800 ambao mpaka sasa jeshi halijafanikiwa kuwapata wote .

Jeshi la nchi hiyo baada ya kupata taarifa hizo lilifika eneo la tukio na kufanya upekuzi kwenye msitu ulio karibu na shule hiyo pamoja na kushambuliana na watekaji hao.

Bado jeshi halijatoa taarifa rasmi.Hata hivyo maafisa wa serikali wa eneo hilo wamesema hakuna taarifa ya kujeruhiwa hata mwanafunzi mmoja.

Majirani wa shule hiyo wanasema walisikia milio ya bunduki usiku wa manane ambapo walinzi wa shule hiyo walifanikiwa kuwarudisha watekaji hao kabla ya jeshi la Polisi kufika.Majirani wengine wanasema walishuhudia watu hao wenye silaha wakiondoka na wanafunzi waliowateka.
View attachment 1648898
Hawa ni boko haram, wakiona majengo ya shule tumbo zinawauma. Wanataka wawe viongozi kwa kupitia msahafu ili ujinga ukolee vizuri.
 
ila unaibisha wenzako na maswali yako ya kitoto

Sent using Jamii Forums mobile app
Maswali ya kitoto majibu huwa ni rahisi.Yule anayeshindwa kujibu akijdai ni mtu mzima ndiye anayeaibika zaidi.
Aibu kwako imedhihiri baada ya Nigeria kwenyewe kusema watekaji si Bokoharam wakati wewe umeshatangaza kuwa ni wao.Unatia huruma.
 
Leo tena tumepata kali ya kufungia mwaka huko Katsina jimbo alilozaliwa raisi wa sasa wa Nigaria mheshimiwa Muhammad Buhari ambaye kwa sasa yuko mapumzikoni jimboni kwao.

Inadaiwa watu waliopanda piki piki waliivamia shule ya mchepua wa Sayansi na kufyatua bunduki hewani halafu wakaondoka na zaidi ya wanafunzi 800 ambao mpaka sasa jeshi halijafanikiwa kuwapata wote .

Jeshi la nchi hiyo baada ya kupata taarifa hizo lilifika eneo la tukio na kufanya upekuzi kwenye msitu ulio karibu na shule hiyo pamoja na kushambuliana na watekaji hao.

Bado jeshi halijatoa taarifa rasmi.Hata hivyo maafisa wa serikali wa eneo hilo wamesema hakuna taarifa ya kujeruhiwa hata mwanafunzi mmoja.

Majirani wa shule hiyo wanasema walisikia milio ya bunduki usiku wa manane ambapo walinzi wa shule hiyo walifanikiwa kuwarudisha watekaji hao kabla ya jeshi la Polisi kufika.Majirani wengine wanasema walishuhudia watu hao wenye silaha wakiondoka na wanafunzi waliowateka.
View attachment 1648898
Wakati umefika waafrika yabidi tuamke, hivi kwanini siku zote magaidi ni waislam tu? Hii dini ina umuhimu gani kwetu waafrika wakati inatubagua sisi kwa sisi? Mohammed na wenzake walikuwa wanafanya mauaji ya kipuuzi kama haya karne ya 6 na kubaka wanawake baada ya kuua waume zao. Mungu gani anataka ujinga kama huu, Mungu si ni upendo? Tuamke jamani.
 
Haya ni maigizo na kwenye maigizo huwa wengine wanaumizwa kweli ilimradi tu igizo linoge/libambe
 
Wakati umefika waafrika yabidi tuamke, hivi kwanini siku zote magaidi ni waislam tu? Hii dini ina umuhimu gani kwetu waafrika wakati inatubagua sisi kwa sisi? Mohammed na wenzake walikuwa wanafanya mauaji ya kipuuzi kama haya karne ya 6 na kubaka wanawake baada ya kuua waume zao. Mungu gani anataka ujinga kama huu, Mungu si ni upendo? Tuamke jamani.
What's your point hapa mkuu?
 
Vyombo vya habari vya kimataifa mfano BBC wameripoti mamia ya wavulana wametekwa na watu wenye silaha, wazazi nao wamechanganyikiwa wanataka serikali yao iwaokoe watoto waliotekwa.

Tena kuna baadhi ya watoto wamefanikiwa kuwatoroka watekaji na wamesimulia walipopelekwa na namna wao walivyoweza kutoroka huku serikali ya Nigeria ikisema imeandaa mipango ya kuwaokoa hao wanafunzi maana wanafahamu wanaposhikiliwa.

Wewe kinachokufanya usiamini hizi taarifa ni nini? Kwamba hao wote ni waongo ila wewe mswahili ndio mkweli.
Haya mambo ya kuamini jambo kwa sababu fulani amesema ndiyo yanayodumaza akili.Yapo mengi yamesemwa na wakubwa kuliko mitandao ya habari na yakawa sifuri kabisa na wala hawakuomba radhi baadae.
Kanisa katoliki kwa kutokuwa na vyanzo vya uhakika kwenye mafunzo yao walimshupalia Galileo aliposema dunia ni duara na hatimae akawekwa kifungoni na akafa katika huzuni.Miaka 350 baada eti wakamuomba radhi hali ya kuwa ni marehemu.Umoja wa Mataifa ulishikilia Saddam Hussein ana silaha za maangamizi jambo lililowapa kisingizio Marekani kuingia Afghanistani na Pakistan kuuwa maelfu ya watu.Kumbe Saddam hakuwa na lolote.
Hayo hayakutoshi tu kuwa si kila usikiacho ni kweli.Haya ya BokoHaram na bbc na serikali ya Nigeria ndio ujinga zaidi.Afadhali kanisa na walioshuhudia vita ya Marekani walikuwa hawana nyenzo kujuwa ukweli kuliko mambo ya Nigeria na Msumbiji.
Tangu juzi jeshi limesema limejuwa walipo watekaji na majeshi yote na teknolojia zote hawajapata hata mmoja.Si lazima uwe mswahili kutoamini haya.Wako wazungu wengi uwapendao ambao hawana hamu ya kuyasikia.
 
Haya mambo ya kuamini jambo kwa sababu fulani amesema ndiyo yanayodumaza akili.Yapo mengi yamesemwa na wakubwa kuliko mitandao ya habari na yakawa sifuri kabisa na wala hawakuomba radhi baadae.
Kanisa katoliki kwa kutokuwa na vyanzo vya uhakika kwenye mafunzo yao walimshupalia Galileo aliposema dunia ni duara na hatimae akawekwa kifungoni na akafa katika huzuni.Miaka 350 baada eti wakamuomba radhi hali ya kuwa ni marehemu.Umoja wa Mataifa ulishikilia Saddam Hussein ana silaha za maangamizi jambo lililowapa kisingizio Marekani kuingia Afghanistani na Pakistan kuuwa maelfu ya watu.Kumbe Saddam hakuwa na lolote.
Hayo hayakutoshi tu kuwa si kila usikiacho ni kweli.Haya ya BokoHaram na bbc na serikali ya Nigeria ndio ujinga zaidi.Afadhali kanisa na walioshuhudia vita ya Marekani walikuwa hawana nyenzo kujuwa ukweli kuliko mambo ya Nigeria na Msumbiji.
Tangu juzi jeshi limesema limejuwa walipo watekaji na majeshi yote na teknolojia zote hawajapata hata mmoja.Si lazima uwe mswahili kutoamini haya.Wako wazungu wengi uwapendao ambao hawana hamu ya kuyasikia.
Afghanistan ilivamiwa na Marekani baada ya kukataa kumkabidhi Osama aliyekuwa anahusishwa na mashambulizi ya kigaidi ya September 11 wala haihusiana na mambo ya Saddam.

Pakistan haijawahi kuvamiwa na Marekani (labda kama unaona operation ya kumuua Osama ni uvamizi) , isipokuwa Marekani hufanya mashambulizi ya ndege zisizo na rubani kuwalenga inaowaita magaidi hii pia haihusiani na Saddam.

Hayo ya umoja wa mataifa kusema Saddam ana silaha za maangamizi sio kweli, waliosema hivyo ni utawala wa Marekani (chini ya Rais wao wa 43 George Bush) japo UN ilifanya ukaguzi na ulijiridhisha hakuna silaha sema walitumia ushawishi wao kuivamia Iraq kwa kuihusisha na silaha za maangamizi baada ya hoja ya Saddam kuhusika na mashambulizi ya September 11 kukosa mashiko.

Kuhusu utekaji wa huko Nigeria niambie kinachokufanya usiamini ni kipi ilihali wazazi wa wanafunzi husika,wanafunzi walionusurika na serikali ya Nigeria wanakiri utekaji umetokea?
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Afghanistan ilivamiwa na Marekani baada ya kukataa kumkabidhi Osama aliyekuwa anahusishwa na mashambulizi ya kigaidi ya September 11 wala haihusiana na mambo ya Saddam.

Pakistan haijawahi kuvamiwa na Marekani (labda kama unaona operation ya kumuua Osama ni uvamizi) , isipokuwa Marekani hufanya mashambulizi ya ndege zisizo na rubani kuwalenga inaowaita magaidi hii pia haihusiani na Saddam.

Hayo ya umoja wa mataifa kusema Saddam ana silaha za maangamizi sio kweli, waliosema hivyo ni utawala wa Marekani (chini ya Rais wao wa 43 George Bush) japo UN ilifanya ukaguzi na ulijiridhisha hakuna silaha sema walitumia ushawishi wao kuivamia Iraq kwa kuihusisha na silaha za maangamizi baada ya hoja ya Saddam kuhusika na mashambulizi ya September 11 kukosa mashiko.

Kuhusu utekaji wa huko Nigeria niambie kinachokufanya usiamini ni kipi ilihali wazazi wa wanafunzi husika,wanafunzi walionusurika na serikali ya Nigeria wanakiri utekaji umetokea?
Hapo juu umekoroga na kukoroga kujaribu kuhalalisha unyama unaofanywa Afghanistan na Pakistan na kutetea makosa ya UN .
Ama hapo chini nakujibu kwamba kinachonifanya nisiamini ni kuwa haiwezekani katika nchi yoyote ile watu wenye pikipiki kuteka wanafunzi 800 na hata 300 na wakatokomea nao misitinu wasijulikane walipo kwa siku kadhaa sasa . Kwamba umearifiwa na bbc kuwa wazazi wamesema na seikali imesema haina uzito iwapo habari yenyewe haina mantiki.Wapo waandishi hukaa studio wakiwa ni watumishi wa mitandao mengine na wakipata fununu wakatia ya kwao yasiyohusiana na tukio.Hiki ndio chanzo cha sentensi kutoshikana kwani njia ya muongo daima ni fupi.
Hujaona huko Tanzania tukio kutokea Morogoro ikachukuliwa picha ya mwaka juzi ya Zanzibar.Ingekuwa wewe ulikuwepo na ukatuarifu hapa na ukatupa nafasi ya kukuhoji basi baada kuridhika na majibu yako tungekubali.Kwa habari kutokea Nigeria taarifa ikatokea Ulaya kuna walakini.Si vyema kulazimisha watu wakubaliane na habari kama hizo kama kwamba wewe unapendelea mambo hayo yatokee huko.
 
Leo tena tumepata kali ya kufungia mwaka huko Katsina jimbo alilozaliwa raisi wa sasa wa Nigaria mheshimiwa Muhammad Buhari ambaye kwa sasa yuko mapumzikoni jimboni kwao.

Inadaiwa watu waliopanda piki piki waliivamia shule ya mchepua wa Sayansi na kufyatua bunduki hewani halafu wakaondoka na zaidi ya wanafunzi 800 ambao mpaka sasa jeshi halijafanikiwa kuwapata wote .

Jeshi la nchi hiyo baada ya kupata taarifa hizo lilifika eneo la tukio na kufanya upekuzi kwenye msitu ulio karibu na shule hiyo pamoja na kushambuliana na watekaji hao.

Bado jeshi halijatoa taarifa rasmi.Hata hivyo maafisa wa serikali wa eneo hilo wamesema hakuna taarifa ya kujeruhiwa hata mwanafunzi mmoja.

Majirani wa shule hiyo wanasema walisikia milio ya bunduki usiku wa manane ambapo walinzi wa shule hiyo walifanikiwa kuwarudisha watekaji hao kabla ya jeshi la Polisi kufika.Majirani wengine wanasema walishuhudia watu hao wenye silaha wakiondoka na wanafunzi waliowateka.
View attachment 1648898
Watu 800 kwenye pikipiki?
 
Hapo juu umekoroga na kukoroga kujaribu kuhalalisha unyama unaofanywa Afghanistan na Pakistan na kutetea makosa ya UN .
Ama hapo chini nakujibu kwamba kinachonifanya nisiamini ni kuwa haiwezekani katika nchi yoyote ile watu wenye pikipiki kuteka wanafunzi 800 na hata 300 na wakatokomea nao misitinu wasijulikane walipo kwa siku kadhaa sasa . Kwamba umearifiwa na bbc kuwa wazazi wamesema na seikali imesema haina uzito iwapo habari yenyewe haina mantiki.Wapo waandishi hukaa studio wakiwa ni watumishi wa mitandao mengine na wakipata fununu wakatia ya kwao yasiyohusiana na tukio.Hiki ndio chanzo cha sentensi kutoshikana kwani njia ya muongo daima ni fupi.
Hujaona huko Tanzania tukio kutokea Morogoro ikachukuliwa picha ya mwaka juzi ya Zanzibar.Ingekuwa wewe ulikuwepo na ukatuarifu hapa na ukatupa nafasi ya kukuhoji basi baada kuridhika na majibu yako tungekubali.Kwa habari kutokea Nigeria taarifa ikatokea Ulaya kuna walakini.Si vyema kulazimisha watu wakubaliane na habari kama hizo kama kwamba wewe unapendelea mambo hayo yatokee huko.
Una taaluma ya ubishi. Tuishie hapa
 
Wewe ni muongo. Kusini kuna amani hakuna mauaji ya ovyo ovyo
Usiwe unakurupuka

Makabila ya kaskazini ambao ni waislamu wanalalamikia uwepo wa Igbos ambao ni wa kusini wakiwa maeneo ya kaskazini wamejipa majina ya kiislamu

Na pia fuatilia uone ni kabila lipi linasifika kwa uhalifu kuliko yote Nigeria kama sio Igbo ambao ni Wakristo


Wa kaskazini ukiachana na Boko haram uhalifu sio jadi yao ,hayo maeneo yanatekeleza sheria za kiislamu , kuna vikosi vya majimbo vya kutekekeza sheria za kiislamu vinaitwa hisbah


Ila makabila ya kusini ambako unakuta wakristo ushirikina('Cult groups') ,ujambazi, uhalifu mwanzo mwisho


Na tena kaskazini naamini ni mikono ya wamagharibi hizo mambo za Boko haram ,ila jamaa wako safi sana


Lini ukasikia habari za hoodlums kaskazini mwa Nigeria?
 
kwa kiukujulisha tu nimebobea katika historia ya makabila jamii. Naifaham vema Historia ya Nigeria
Hujuu chochote wewee. Kamwe huwezi kukuta kabila la Igbo kaskazini ni maji na mafuta. Kaskazini ni Fulani, Kanuri na Hausa.

Igbo wanapatikana Kusini masharaki ambapo imeenda akapaka na Cameroon kusini ambayo ndio Biafra mji wao mkuu Port Harcout. Na ambapo kunapatikana Niger delta na mafuta ya Nigeria ndio maana Igbo people wanataka kujitenga na Nigeria na kuanzisha taifa lao la Biafra

Hausa wameenea kutoka kaskazini hadi wamepitiliza kidogo hadi central Nigeria ambapo wamebaka wakristo wachache katika mji wa Jos.

Haya kusini Magharibi ni Kwa Yoruba ambapo Ndio Lagos ilipo.

Lakini katikati ya Southern east na southern west kuna Benin state (kumbuka siyo Benin nchi iliyotawaliwa na france) bali ni Benin state wanawake wa hawa wa Benin wanasifa ya kujiuza ni machungu ulaya.

Turudi kwa fulani nilishaleta hadi uzi wake humu. Fulani ni Nomads walihama na kuingia Nigeria kutoka Guinea na kuwabadilisha Hausa kuwa waislamu.

Kuna makabila ambayo yanashabiana ka Hausa kama Kanuri ambao pia walicganganyikana na Fulani.

Bono, Katsina Kano ni majimbo ya kaskazini mwa Nigeria ambayo ni Fulani, Kanuri na Hausa.

Hujui kitu weweee kuhusu Nigeria
Apart from history

Niambie kabila notorious kwa uhalifu Nigeria zaidi ya Igbo

Kuna makabila mengine madogo Madogo mengi the u nje ya hayo makubwa


Matatizo ya hoodlums tangu lini yakawa Nigeria kaskazini?
 
Back
Top Bottom