kwa kiukujulisha tu nimebobea katika historia ya makabila jamii. Naifaham vema Historia ya Nigeria
Hujuu chochote wewee. Kamwe huwezi kukuta kabila la Igbo kaskazini ni maji na mafuta. Kaskazini ni Fulani, Kanuri na Hausa.
Igbo wanapatikana Kusini masharaki ambapo imeenda akapaka na Cameroon kusini ambayo ndio Biafra mji wao mkuu Port Harcout. Na ambapo kunapatikana Niger delta na mafuta ya Nigeria ndio maana Igbo people wanataka kujitenga na Nigeria na kuanzisha taifa lao la Biafra
Hausa wameenea kutoka kaskazini hadi wamepitiliza kidogo hadi central Nigeria ambapo wamebaka wakristo wachache katika mji wa Jos.
Haya kusini Magharibi ni Kwa Yoruba ambapo Ndio Lagos ilipo.
Lakini katikati ya Southern east na southern west kuna Benin state (kumbuka siyo Benin nchi iliyotawaliwa na france) bali ni Benin state wanawake wa hawa wa Benin wanasifa ya kujiuza ni machungu ulaya.
Turudi kwa fulani nilishaleta hadi uzi wake humu. Fulani ni Nomads walihama na kuingia Nigeria kutoka Guinea na kuwabadilisha Hausa kuwa waislamu.
Kuna makabila ambayo yanashabiana ka Hausa kama Kanuri ambao pia walicganganyikana na Fulani.
Bono, Katsina Kano ni majimbo ya kaskazini mwa Nigeria ambayo ni Fulani, Kanuri na Hausa.
Hujui kitu weweee kuhusu Nigeria