Wenye pikipiki wateka mamia Nigeria

Fulani si ndio wenye Boko Harama hao. Kisha Igbo ni bright ila mafisadi, misifa na ujuaji mwingi.
 
MKO Abiola angekuwa rais angebadili hii nchi kutoka kuwa failed state. Ingawa angepata sana upinzani au angeshindwa kama angekuwa mzembemzembe na mpole.
 
Upo sahihi kabisa.Mwenyewe nimejiuliza maswali hayo.Wanafunzi 800 sio mchezo!
 
Usiwe unakurupuka

Makabila ya kaskazini ambao ni waislamu wanalalamikia uwepo wa Igbos ambao ni wa kusini wakiwa maeneo ya kaskazini wamejipa majina ya kiislamu

Hivi wewe famba kama hujui kitu kukiandika inakuwasha nini?
Unajua Historia Ya Fulani hapo Nigeria?
Ulishasikia kitu kinaitwa Jihad za fulani?
Hawa jamaa walekuwa wakichinja wakristo kabla hata ya wakoloni.
 
Goodluck Ebele Jonathan sio Igbo

Wote wanafitiniana ila makabila ya kusini ambao wakristo ndio wengi ni matatizo wale watu ila sio wote ni baadhi

We hujiulizi Yoruba wanataka nchi ya kabila lao ,Igbo nao wanataka nchi ya kabila lao lakini Kaskazini kwa waislamu licha ya kuwa makabila makubwa nao wanayo lakini hawana hizo mambo za makabila za kutaka nchi za kikabila nani mbaya hapo ?
 
Hivi wewe famba kama hujui kitu kukiandika inakuwasha nini?
Unajua Historia Ya Fulani hapo Nigeria?
Ulishasikia kitu kinaitwa Jihad za fulani?
Hawa jamaa walekuwa wakichinja wakristo kabla hata ya wakoloni.
Matusi ya nini na yanakufaidisha nini ewe mjinga uliejawa na chuki ?
 
Upo sahihi kabisa.Mwenyewe nimejiuliza maswali hayo.Wanafunzi 800 sio mchezo!
Na sasa wameshabadili stori,mara 300.Msemaji wa raisi jana tena amesema wamebaki 10 mikononi mwa magaidi.Mkasa mzima ni ujinga mtupu.
Umoja wa mataifa ungekuwa ndio wasimamizi wa mienendo ya ya viongozi nchi mbali mbali basi wangetoa pendekezo Muhammada Buhari aondoshwe madarakani kwa kuruhusu mambo ya kipuuzi nchini mwake.
Kinyume chake Muhammad Buhari angekuwa raisi makini na mwenye nguvu za kimadaraka angesema kuanzia mwezi huu sitaki tena habari za kipuuzi za Bokoharamu wala maharamia kuteka watu.Hilo lingewezekana na dunia ikatulia kufanya mambo ya maana.
Angetoa muda maalum asisikie habari hizo.Na ikipita muda huo akafukuza wakuu wa majeshi wote akaweka wengine wenye sifa za kishujaa katika masuala hayo.
Nchi za ulaya zinakula uchumi wa Afrika na sisi tunashughulika na vitu hewa ambavyo hata katika enzi za giza visingetajwa kutokea.
 
Fulani wana tatizo la kulisha ng'ombe mashamba ya watu

Ila kusini mwa Nigeria kuna wizi na ujambazi viwango vikubwa vya dunia kabisa level za Amerika kusini naweza kusema

Mtu anapita barabarani na gari watampora pasua pasua gari kata na mapanga , wapangaji kuvamiwa na majambazi wenye bunduki kwa ajili ya kutoa waliyokuwa navyo ni kawaida kusini mwa Nigeria tofauti na Bongo hapa anavamiwa tajiri ,duka lenye hela nyingi ,utapeli upo juu sana kusini mwa Nigeria wenyewe wanaita 'yahoo boys' , ushirikina tena wa makundi makubwa ya halaiki nayo ni kusini mwa Nigeria
 
Igbo wanasifika kwa uhalifu (wizi,utapeli,ujambazi,kidnapping,ushirikina('Cult groups')) kuliko hata Yoruba ingawa Yoruba ni watu nao wa kusini

Igbo licha ya sifa ya 'uchagga' kwa Nigeria ila pia wapo na sifa ya uhalifu 'uliotukuka' in Gentamycine voice
 
Igbo/Ndigbo wapo waislamu pia ila ni kwa kiasi kidogo sana

Niliona kwenye media kuhusu uhalifu wenyeji wa kaskazini wakawa wanalalamika Igbo waliopo kaskazini wamejipa majina ya kiislamu wanafanya uhalifu maeneo ya kaskazini
 
Maana ya boko haram ni -Western Education is forbiden
Yaani elim dunya ni haram

Sasa wanáteka wanafunzi wa shule na shule nyingi za hilo jimbo zimefungwa baada ya hilo tukio...kwahyo its win for Boko haram.

Hata pakistan,Afghanistan ISIS wamekuwa wakivamia mashule kama ambavyo alshabaab kenya walivamia chuo..

ujumbe ni uleule elimu ya kidunia ni adui wa Uislam
 
Hilo genge kumbe linatambulika zaidi ya miaka 40 na limekodiwa na Boko Haram.

Source UTV.

Hivi najiuliza yaani genge linakaa vipi miaka 40 wakati serikali ipo,yaani nchi ikitawaliwa na ufisadi na rushwa ngumu kutawalika.Nimeisikiliza hii habari mpaka nashangaa,inafikia hatua mpaka Boko Haram wanalikodi ,sasa siku ndio wakiungana na Boko haram si wanajitengenezea utawala wao kwa baadhi ya maeneo ya Nigeria.
 
MKO Abiola angekuwa rais angebadili hii nchi kutoka kuwa failed state. Ingawa angepata sana upinzani au angeshindwa kama angekuwa mzembemzembe na mpole.
Kwanini una imani sana na huyu jamaa?

Nadhani Buhari amejitahidi sana kwa kiasi kikubwa kuituliza Nigeria, kumbuka mauaji makubwa ya kikabila na mzozo wa kila mara wa kidini huko Jos kipindi Goodluck Jonathan ni Rais bila kusahau Bokoharam kupata nguvu.

Ila toka Buhari amekamata madaraka amejitahidi sana, japo Kuna udhaifu mfano wavulana 300 waliotekwa ila angalau utawala wake unaonekana kuwajibika.
 
Yaani genge la kihuni linaishi miaka yote na serikali ipo?

Nadhani serikali zilizopita ndio zinastahili lawama japo hii ya Buhari pia imeonyesha udhaifu kushindwa kulinda usalama wa wanafunzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…