Wenye uchungu na nchi hii hatutahama CHADEMA. Mamluki walionunuliwa na Mbowe kwa maridhiano uchwara na CCM watahama ovyo

Wenye uchungu na nchi hii hatutahama CHADEMA. Mamluki walionunuliwa na Mbowe kwa maridhiano uchwara na CCM watahama ovyo

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Nimehangaika sana na CHADEMA tokea enzi zile tunakijiofisi kilichochoka pale Mwembe yanga jirani na Kisuma Bar

Tumehangaika sana kupigania nchi hii mpaka list of shame ikawekwa hadharani pale mwembe Yanga.

Leo hii mtu anaenda kununua mamluki toka Cuf kisa tu kuna maridhiano uchwara huku yeye akilamba asali. Mamluki wote watahama na kutuacha wenye uchungu na nchi hii
 
Nimehangaika sana na CHADEMA tokea enzi zile tunakijiofisi kilichochoka pale Mwembe yanga jirani na Kisuma Bar

Tumehangaika sana kupigania nchi hii mpaka list of shame ikawekwa hadharani pale mwembe Yanga...
Ingawa Mimi Ni mpinzani wa Maridhiano anaylazimisha Mbowe, ila wewe hujawahi kuwa mwanachadema hata siku moja.

Wewe ndio mamluki wa CCM unayejifanya CHADEMA, ila kutwa kuiponda CHADEMA na viongozi wake.

Mwanachama Bora anaonekana jinsi anavyokiheshimu chama. Sio wewe kila siku kukitukana chama na Viongozi wake JF.
 
Nimehangaika sana na CHADEMA tokea enzi zile tunakijiofisi kilichochoka pale Mwembe yanga jirani na Kisuma Bar

Tumehangaika sana kupigania nchi hii mpaka list of shame ikawekwa hadharani pale mwembe Yanga.

Leo hii mtu anaenda kununua mamluki toka Cuf kisa tu kuna maridhiano uchwara huku yeye akilamba asali. Mamluki wote watahama na kutuacha wenye uchungu na nchi hii
Mkuu, umekunywa hata chai? Maana inatakiwa uchungu uanze na maisha yako, unapata uchungu kwa mtu amekaa mtwara, Kilimanjaro, Tarime, wakati wewe umekaa sebuleni kwa shemeji ukisubiri dada yako na shemeji yako watoke chumbani, na Kijijini umeacha mvua na mashamba makubwa ya kulima.
 
Nimehangaika sana na CHADEMA tokea enzi zile tunakijiofisi kilichochoka pale Mwembe yanga jirani na Kisuma Bar

Tumehangaika sana kupigania nchi hii mpaka list of shame ikawekwa hadharani pale mwembe Yanga.

Leo hii mtu anaenda kununua mamluki toka Cuf kisa tu kuna maridhiano uchwara huku yeye akilamba asali. Mamluki wote watahama na kutuacha wenye uchungu na nchi hii
Tulia weye, hangaika na CCM yako kugawanya majimbo.
 
Mleta mada ni nyumbu aliekatwa mkia. Ubongo wa kinyumbu ukatumiwa na Gaidi na Chiba kupiga hela. Kaa hapo kwa MaCHADEMA mjinga wewe.
 
Ingawa Mimi Ni mpinzani wa Maridhiano anaylazimisha Mbowe, ila wewe hujawahi kuwa mwanachadema hata siku moja. Wewe ndio mamluki wa CCM unayejifanya CHADEMA, ila kutwa kuiponda CHADEMA na viongozi wake. Mwanachama Bora anaonekana jinsi anavyokiheshimu chama. Sio wewe kila siku kukitukana chama na Viongozi wake JF.
Huyo bwege ni uvccm hiyo username yake ni kejeli kwa Chadema, namfahamu vizuri kwa vile kanuni za JF haziruhusu kutajana majina
 
Ingawa Mimi Ni mpinzani wa Maridhiano anaylazimisha Mbowe, ila wewe hujawahi kuwa mwanachadema hata siku moja. Wewe ndio mamluki wa CCM unayejifanya CHADEMA, ila kutwa kuiponda CHADEMA na viongozi wake. Mwanachama Bora anaonekana jinsi anavyokiheshimu chama. Sio wewe kila siku kukitukana chama na Viongozi wake JF.
Mburula kaa kimya. Kuheshimu chama ndio kukaa kimya huko uozo unafabyika?
 
Back
Top Bottom