Wenye uzoefu wa kupanda Malori yanayoelekea mikoani, namuomba hapa

Wenye uzoefu wa kupanda Malori yanayoelekea mikoani, namuomba hapa

Lexus SUV

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2016
Posts
4,493
Reaction score
5,591
Habari wakuu , naomba ulizia kwa wenye experince ya waliowahi panda lori kwenda dodoma kwa ajili ya interview aje hapa atusaidie trip ilikuwaje, maana hali si hali wakuu dodoma moja...

Au kwa anaejua yanakopatikana ma lori yanayoelekea mikoani kutoka dsm wakuu

Kwa maana. Kiuchumi tunaTOFAUTIANA WAKUU , WENGINE BADO HATUJAJIPATA NI BORA KUTUMIA MIA MBOVU KULIKO KULIPIA 40+K NAULI WAKUU
 
Lori utachelewa, kama umepungukiwa nauli sema tkuchangie upande basi au unapenda vya kitonga
 
Back
Top Bottom