Nenda stand ya magufuli kuna machalii ndo zao kutafutia watu semi it coaster, ila usipande semi ya howo utajutaaHabari wakuu , naomba ulizia kwa wenye experince ya waliowahi panda lori kwenda dodoma kwa ajili ya interview aje hapa atusaidie trip ilikuwaje , maana hali si hali wakuu dodoma moja...
Yeye Anahitaji lory sio ITNenda ubungo kibo, utapata IT au coaster.
Howo semi tatizo nini kiongoziNenda stand ya magufuli kuna machalii ndo zao kutafutia watu semi it coaster, ila usipande semi ya howo utajutaa
Jaribu usafiri nayo kutoka dar hadi dodoma ulete mrejesho kwanzaHowo semi tatizo nini kiongozi
Labda anataka alipe nauli ndogo ?sasa mkuu mabasi kibao unapandaje Lori? huoni utachelewa sana njiani?
Tumia ubongo uwo mzee kichakata vitu vidogo Kama hivisasa mkuu mabasi kibao unapandaje Lori? huoni utachelewa sana njiani?
Inat0mber muda woteHowo semi tatizo nini kiongozi
Wewe uko wapi upewe mwelekeo?Habari wakuu , naomba ulizia kwa wenye experince ya waliowahi panda lori kwenda dodoma kwa ajili ya interview aje hapa atusaidie trip ilikuwaje , maana hali si hali wakuu dodoma moja...
Habari wakuu , naomba ulizia kwa wenye experince ya waliowahi panda lori kwenda dodoma kwa ajili ya interview aje hapa atusaidie trip ilikuwaje , maana hali si hali wakuu dodoma moja..
Ni kweli nilipanda howo nikalipa elfu kumi kwenda dom, kufika moro jamaa kaninunulia msosi na maji ya uhai, shofa alikuwa na story balaa safari ilikuwa fupi mnoLabda anataka alipe nauli ndogo ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inat0mber muda wote
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaahTajiri Lexus SUV inashida gani mpaka ufakamie lori?