Wenye viwanda vya khanga mfikirie kuongeza ukubwa wa khanga

Wenye viwanda vya khanga mfikirie kuongeza ukubwa wa khanga

Misambwanda, waambie na watengeneza vyupi pia maana kuna wakati ukipiga jicho la makini unaona kabisa kuwa pichu haijakaa kwenye kiuno imeshia katikati ya mlima tu. Ni balaa!
 
1083954


This is a normal size of an Afriacn dada
 
Hujatutendea haki sie matomaso wapenda mwanamke mwenye bodi,umeweka picha ya kanga tu....tafadhali WEKA PICHA ya ambaye haimtoshi tupige kiwi cha macho
 
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
#Team Tukunyemaz
 
View attachment 1083893

Dunia imebadilika na idadi ya wanaovaa extra size imeongezeka, ukubwa wa khanga umebakia ule ule.

Unanunua khanga hata bila kuikata unapinda zote mbili lakini bado ni ndogo. Mbona vitenge tunauziwa piece tatu? Wenzenu walishaona umuhimu wa super size.

Kuna mitandio inatoka Karachi Pakistan, huwa na ukubwa wa kuridhisha, kama khanga zingekuwa size ile ingependeza.

Wekeni khanga za vipande vitatu, sisi mabonge tutanunua, soko la sasa hivi halikidhi mahitaji yetu.
Kumbe unamiliki dawa ya ugonjwa wangu! Dah sijui nitafanyaje nipate dawa.
 
Usizifiche neema zako za Allah nyuma ya kanga Best. Mbona suruali, skirt au gauni vyote vinakupendezesha sana? 😉😉😉

View attachment 1083893

Dunia imebadilika na idadi ya wanaovaa extra size imeongezeka, ukubwa wa khanga umebakia ule ule.

Unanunua khanga hata bila kuikata unapinda zote mbili lakini bado ni ndogo. Mbona vitenge tunauziwa piece tatu? Wenzenu walishaona umuhimu wa super size.

Kuna mitandio inatoka Karachi Pakistan, huwa na ukubwa wa kuridhisha, kama khanga zingekuwa size ile ingependeza.

Wekeni khanga za vipande vitatu, sisi mabonge tutanunua, soko la sasa hivi halikidhi mahitaji yetu.
 
View attachment 1083893

Dunia imebadilika na idadi ya wanaovaa extra size imeongezeka, ukubwa wa khanga umebakia ule ule.

Unanunua khanga hata bila kuikata unapinda zote mbili lakini bado ni ndogo. Mbona vitenge tunauziwa piece tatu? Wenzenu walishaona umuhimu wa super size.

Kuna mitandio inatoka Karachi Pakistan, huwa na ukubwa wa kuridhisha, kama khanga zingekuwa size ile ingependeza.

Wekeni khanga za vipande vitatu, sisi mabonge tutanunua, soko la sasa hivi halikidhi mahitaji yetu.
Hivi kuna watu wanavaa kanga siku hizi ?maana naona wanawake siku hizi huvaa salawali na salawali kipande na zile soksi za kubana makalio
 
wekeni picha mazee tuone waliojaliwa wakivaa hivyo vipande vya kanaga wanakuwaje
 
Hivi kuna watu wanavaa kanga siku hizi ?maana naona wanawake siku hizi huvaa salawali na salawali kipande na zile soksi za kubana makalio
Kuna style ya blause ya khanga na jeans, ina bamba sana.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
View attachment 1083893

Dunia imebadilika na idadi ya wanaovaa extra size imeongezeka, ukubwa wa khanga umebakia ule ule.

Unanunua khanga hata bila kuikata unapinda zote mbili lakini bado ni ndogo. Mbona vitenge tunauziwa piece tatu? Wenzenu walishaona umuhimu wa super size.

Kuna mitandio inatoka Karachi Pakistan, huwa na ukubwa wa kuridhisha, kama khanga zingekuwa size ile ingependeza.

Wekeni khanga za vipande vitatu, sisi mabonge tutanunua, soko la sasa hivi halikidhi mahitaji yetu.
Ni kweli kabisa
 
Back
Top Bottom