Wenye viwanda vya khanga mfikirie kuongeza ukubwa wa khanga

Wenye viwanda vya khanga mfikirie kuongeza ukubwa wa khanga

Mimi nikadhani unataka waongeze uzito au thickness iww kama taulo
 
nenda kwenye maduka pale kitumbini kuna khanga wanaziuza 19,000/= zina ukubwa wa kutosha sana.
 
Hapa naunga mkono hoja ....jamani hata mie mwembamba kanga hainitoshi jamani Sijui wanafeli wapi
 
Sisiemu mmesikia mnapoelekea kuchapisha za uchaguzi wapiga kura wenu wamenenepa.
 
Mimi sidhani kama ni udogo wa khanga hapana wamepunguza ukubwa wa khanga.. khanga za zamani zilikuwa sawa kabisa
 
View attachment 1083893

Dunia imebadilika na idadi ya wanaovaa extra size imeongezeka, ukubwa wa khanga umebakia ule ule.

Unanunua khanga hata bila kuikata unapinda zote mbili lakini bado ni ndogo. Mbona vitenge tunauziwa piece tatu? Wenzenu walishaona umuhimu wa super size.

Kuna mitandio inatoka Karachi Pakistan, huwa na ukubwa wa kuridhisha, kama khanga zingekuwa size ile ingependeza.

Wekeni khanga za vipande vitatu, sisi mabonge tutanunua, soko la sasa hivi halikidhi mahitaji yetu.
Duuh! Kumbe na wewe una chura mkubwa eeh! Hongera sana...
 
View attachment 1083893

Dunia imebadilika na idadi ya wanaovaa extra size imeongezeka, ukubwa wa khanga umebakia ule ule.

Unanunua khanga hata bila kuikata unapinda zote mbili lakini bado ni ndogo. Mbona vitenge tunauziwa piece tatu? Wenzenu walishaona umuhimu wa super size.

Kuna mitandio inatoka Karachi Pakistan, huwa na ukubwa wa kuridhisha, kama khanga zingekuwa size ile ingependeza.

Wekeni khanga za vipande vitatu, sisi mabonge tutanunua, soko la sasa hivi halikidhi mahitaji yetu.
Punguza unene
 
Back
Top Bottom