Humorous Junior
JF-Expert Member
- Jul 19, 2018
- 1,598
- 1,410
Khanga ni nguo ya asili best, hata uwe Japan mwanamke wa ki Bongo hakosi khanga japo moja.
Correction: tracko=takoMmh utakuwa una tracko kubwa.....
kwahiyo unaligeuza geuza unavyotaka mpaka likome??Ili ushinde mechi dhidi yake lazima ucheze faulo kuanzia mpira unaanza mpaka unaisha tu.
Kueleza hapa kila kitu ngumu unaweza onekana muhuni au kiwembe tu.kwahiyo unaligeuza geuza unavyotaka mpaka likome??
[emoji86][emoji86] Kuna watu wachokozi umuuuNimeanza kukujua taratibu kumbe huna hata shape la kuvutia upo kama Asha boko [emoji13][emoji13][emoji13]
Mi ananivutiaNimeanza kukujua taratibu kumbe huna hata shape la kuvutia upo kama Asha boko πππ
Duuh! Kumbe na wewe una chura mkubwa eeh! Hongera sana...View attachment 1083893
Dunia imebadilika na idadi ya wanaovaa extra size imeongezeka, ukubwa wa khanga umebakia ule ule.
Unanunua khanga hata bila kuikata unapinda zote mbili lakini bado ni ndogo. Mbona vitenge tunauziwa piece tatu? Wenzenu walishaona umuhimu wa super size.
Kuna mitandio inatoka Karachi Pakistan, huwa na ukubwa wa kuridhisha, kama khanga zingekuwa size ile ingependeza.
Wekeni khanga za vipande vitatu, sisi mabonge tutanunua, soko la sasa hivi halikidhi mahitaji yetu.
Punguza uneneView attachment 1083893
Dunia imebadilika na idadi ya wanaovaa extra size imeongezeka, ukubwa wa khanga umebakia ule ule.
Unanunua khanga hata bila kuikata unapinda zote mbili lakini bado ni ndogo. Mbona vitenge tunauziwa piece tatu? Wenzenu walishaona umuhimu wa super size.
Kuna mitandio inatoka Karachi Pakistan, huwa na ukubwa wa kuridhisha, kama khanga zingekuwa size ile ingependeza.
Wekeni khanga za vipande vitatu, sisi mabonge tutanunua, soko la sasa hivi halikidhi mahitaji yetu.