American nigga
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 673
- 974
Umekwenda arusha kutokea wapi?Habari wazee Nina Gri Touareg CC 3500, Juzi nilikuwa na safari ya kwenda arusha nimetumia mafuta wastani wa lita 150 kwa kwenda tu, naomba kujua ikiwa ni sawa kwa wenye Touareg au kuna shida mahali. NB: kama huna toaureg sihitaji ushauri wowote wala makelele Asante.
Lita 150 kutokea wapi mkuuHabari wazee Nina Gri Touareg CC 3500, Juzi nilikuwa na safari ya kwenda arusha nimetumia mafuta wastani wa lita 150 kwa kwenda tu, naomba kujua ikiwa ni sawa kwa wenye Touareg au kuna shida mahali. NB: kama huna toaureg sihitaji ushauri wowote wala makelele Asante.
huwezi jua labda katokea nchi jirani huko 😊😊😊..Lita 1 inaenda kilomita 4?? Hiyo ni gari au trekta? Hapo hukupaswa kutumia zaidi ya Lita 50
Habari wazee Nina Gri Touareg CC 3500, Juzi nilikuwa na safari ya kwenda arusha nimetumia mafuta wastani wa lita 150 kwa kwenda tu, naomba kujua ikiwa ni sawa kwa wenye Touareg au kuna shida mahali. NB: kama huna toaureg sihitaji ushauri wowote wala makelele Asante.
Ulikuwa unaenda mwendo gani?Habari wazee Nina Gri Touareg CC 3500, Juzi nilikuwa na safari ya kwenda arusha nimetumia mafuta wastani wa lita 150 kwa kwenda tu, naomba kujua ikiwa ni sawa kwa wenye Touareg au kuna shida mahali. NB: kama huna toaureg sihitaji ushauri wowote wala makelele Asante.
Habari wazee Nina Gri Touareg CC 3500, Juzi nilikuwa na safari ya kwenda arusha nimetumia mafuta wastani wa lita 150 kwa kwenda tu, naomba kujua ikiwa ni sawa kwa wenye Touareg au kuna shida mahali. NB: kama huna toaureg sihitaji ushauri wowote wala makelele Asante.
Utasemaje hivi bila kujua consumption ya hio gari na alikuwa anaendeshaje?Umetokea wapi kuelekea Arusha?
Ingawa umesema tusio na tourage tusi comment ila inawezekana we know much better.....
Mafuta lita 150 hata ungetokea Bukoba to Kigoma via Dar es salaaam yasingeisha...
Please see below chart.
View attachment 2120125
Halafu ni 3.2 au 3.6 petrol?Habari wazee Nina Gri Touareg CC 3500, Juzi nilikuwa na safari ya kwenda arusha nimetumia mafuta wastani wa lita 150 kwa kwenda tu, naomba kujua ikiwa ni sawa kwa wenye Touareg au kuna shida mahali. NB: kama huna toaureg sihitaji ushauri wowote wala makelele Asante.
Dar es salam mkuuUmekwenda arusha kutokea wapi?
Dsm mzeeLita 150 kutokea wapi mkuu
@RRONDO ndio maana nimemuwekea chart hapo chini....Utasemaje hivi bila kujua consumption ya hio gari na alikuwa anaendeshaje?
Normal km 70 hadi 100Ulikuwa unaenda mwendo gani?