and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
bora umeweka angalizo kuwa huitaji MAKELELEHabari wazee Nina Gri Touareg CC 3500, Juzi nilikuwa na safari ya kwenda arusha nimetumia mafuta wastani wa lita 150 kwa kwenda tu, naomba kujua ikiwa ni sawa kwa wenye Touareg au kuna shida mahali. NB: kama huna toaureg sihitaji ushauri wowote wala makelele Asante.