Wenye VW Touareg naomba msaada wenu hapa

Wenye VW Touareg naomba msaada wenu hapa

Hilo haliwezekani; Hakuna hizo liter kwenye hiyo safari labda Kama mafuta yamemwagika!

Na pia sikuelewi; Kwani Arusha tu ndo safari? Ukiwa mkoani Hujui Gari unaenda Km ngapi/liter?

Mh! Hii Ni chai bwana! Unatuongopea; au una malengo gani Kwa ujumla? Hiyo ina maana Gari unaenda Km???? Kwa ?????
Hivi ushawahi kwenda mkoa ukawa unapiga ligi na mtu mkoa to mkoa? Ndio maana nimemuuliza alikuwa anaendeshaje. Mchawi ni aina ya uendeshaji tu.
 
@RRONDO ndio maana nimemuwekea chart hapo chini....

Assume gari ni used so inakula 6km/l ina maana kwa mafuta ya lita 150l ameenda km 900 net kwa costant speed and ukanyagaji wa mafuta...


Ajabu.

Labda atueleze ametoka wapi kufikia arusha but ukiniambia aina ya uendeshaji nakataa...
Nimetoka Dar es salam mzee
 
safari ya Dar to Kigoma via Singida Tabora km 1400 spidi 120-140 vipande vingi Pajero 3000cc V6 ikiwa na watu wazima 5 na mzigo mzito nilitumia 180litres. same Car Dar to Arusha 500km nilitumia full tank lita 85. cheki MAF,badili Air Cleaner na plugs. Pia fanyia gari wheel alignment na wheel balance. naongea from experience
 
Umetokea wapi kuelekea Arusha?

Ingawa umesema tusio na tourage tusi comment ila inawezekana we know much better.....

Mafuta lita 150 hata ungetokea Bukoba to Kigoma via Dar es salaaam yasingeisha...


Please see below chart.

View attachment 2120125
Jibu lako lipo tekniko sana mkuu.

Bukoba to Kigoma via Dar es Salaam.
 
safari ya Dar to Kigoma via Singida Tabora km 1400 spidi 120-140 vipande vingi Pajero 3000cc V6 ikiwa na watu wazima 5 na mzigo mzito nilitumia 180litres. same Car Dar to Arusha 500km nilitumia full tank lita 85. cheki MAF,badili Air Cleaner na plugs. Pia fanyia gari wheel alignment na wheel balance. naongea from experience
Dar to Arusha ni 630 km.
 
Aisee pole.. Hiyo scenario ni kuna changamoto kwenye mfumo gari..
Misfiring ambayo nahisi chanzo ni MAF..
Kama ilikuwa inatoa moshi mweusi.. Mafuta hayo umechoma..!

Kuna wakati nilitumia Lita 70..Dar to Morogoro..! Ishu ilikuwa ni hiyo MAF..!
Nimekupata mkuu
 
Habari wazee Nina Gri Touareg CC 3500, Juzi nilikuwa na safari ya kwenda arusha nimetumia mafuta wastani wa lita 150 kwa kwenda tu, naomba kujua ikiwa ni sawa kwa wenye Touareg au kuna shida mahali. NB: kama huna toaureg sihitaji ushauri wowote wala makelele Asante.

Safari yako ilianzia wapi kwenda Arusha?

Toureg yako ni Toleo lipi au ya mwaka gani?
 
Umetokea wapi kuelekea Arusha?

Ingawa umesema tusio na tourage tusi comment ila inawezekana we know much better.....

Mafuta lita 150 hata ungetokea Bukoba to Kigoma via Dar es salaaam yasingeisha...


Please see below chart.

View attachment 2120125

Aiseee hizi Toureg umeweka hapa zote ni Diesel.

Pia hakuna Toureg ya Diesel ya Cc3500.

Zipo za petrol na zenyewe siyo Cc3500 ni Cc3600
 
Habari wazee Nina Gri Touareg CC 3500, Juzi nilikuwa na safari ya kwenda arusha nimetumia mafuta wastani wa lita 150 kwa kwenda tu, naomba kujua ikiwa ni sawa kwa wenye Touareg au kuna shida mahali. NB: kama huna toaureg sihitaji ushauri wowote wala makelele Asante.

Mtoa maada kama gari ni nzima na uendeshaji wako ni mzuri hayo mafuta lita 150 ikitakiwa utembee zaidi ya 1000Km...
 
Habari wazee Nina Gri Touareg CC 3500, Juzi nilikuwa na safari ya kwenda arusha nimetumia mafuta wastani wa lita 150 kwa kwenda tu, naomba kujua ikiwa ni sawa kwa wenye Touareg au kuna shida mahali. NB: kama huna toaureg sihitaji ushauri wowote wala makelele Asante.
Hizo gari hizo ni shida tupu. Kuliuza haliuziki, spaire part ni shida , mafundi hawalijui,ulaji wa mafuta ndio huo.
Kwa kifupi nikushauri kwa ujinga wangu, hilo gari lipaki mahali ukilitafutia mteja nunua brandvza Toyota utaokoa maisha yako
 
Back
Top Bottom