American nigga
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 673
- 974
- Thread starter
- #21
3.6 petrolHalafu ni 3.2 au 3.6 petrol?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
3.6 petrolHalafu ni 3.2 au 3.6 petrol?
Hivi ushawahi kwenda mkoa ukawa unapiga ligi na mtu mkoa to mkoa? Ndio maana nimemuuliza alikuwa anaendeshaje. Mchawi ni aina ya uendeshaji tu.Hilo haliwezekani; Hakuna hizo liter kwenye hiyo safari labda Kama mafuta yamemwagika!
Na pia sikuelewi; Kwani Arusha tu ndo safari? Ukiwa mkoani Hujui Gari unaenda Km ngapi/liter?
Mh! Hii Ni chai bwana! Unatuongopea; au una malengo gani Kwa ujumla? Hiyo ina maana Gari unaenda Km???? Kwa ?????
Gari ina matatizo hio. Inawezekana inamisfire ila kwasababu engine kubwa wewe unaona kawaida.Normal km 70 hadi 100
Sawa itabidi nifanyie kaziGari ina matatizo hio. Inawezekana inamisfire ila kwasababu engine kubwa wewe unaona kawaida.
Nilikuwa naona ni kawaida ndo maana anataka kujua kwa wenzangu wenye gai kama hiiLimekushangaza kwenye safari tu au hata kwenye mizunguko yako ya kawaida linakushamgaza?
Nimetoka Dar es salam mzee@RRONDO ndio maana nimemuwekea chart hapo chini....
Assume gari ni used so inakula 6km/l ina maana kwa mafuta ya lita 150l ameenda km 900 net kwa costant speed and ukanyagaji wa mafuta...
Ajabu.
Labda atueleze ametoka wapi kufikia arusha but ukiniambia aina ya uendeshaji nakataa...
Linatakiwa kwenda 8km per litre mpaka 10 ukiwa safarini. Huku mjini hata 7km per lit ni sawa. Hapo assumption ni kwamba sio jipya kabisa.Nilikuwa naona ni kawaida ndo maana anataka kujua kwa wenzangu wenye gai kama hii
Pamoja mkuuLinatakiwa kwenda 8km per litre mpaka 10 ukiwa safarini. Huku mjini hata 7km per lit ni sawa. Hapo assumption ni kwamba sio jipya kabisa.
Jibu lako lipo tekniko sana mkuu.Umetokea wapi kuelekea Arusha?
Ingawa umesema tusio na tourage tusi comment ila inawezekana we know much better.....
Mafuta lita 150 hata ungetokea Bukoba to Kigoma via Dar es salaaam yasingeisha...
Please see below chart.
View attachment 2120125
Dar to Arusha ni 630 km.safari ya Dar to Kigoma via Singida Tabora km 1400 spidi 120-140 vipande vingi Pajero 3000cc V6 ikiwa na watu wazima 5 na mzigo mzito nilitumia 180litres. same Car Dar to Arusha 500km nilitumia full tank lita 85. cheki MAF,badili Air Cleaner na plugs. Pia fanyia gari wheel alignment na wheel balance. naongea from experience
Nimekupata mkuuAisee pole.. Hiyo scenario ni kuna changamoto kwenye mfumo gari..
Misfiring ambayo nahisi chanzo ni MAF..
Kama ilikuwa inatoa moshi mweusi.. Mafuta hayo umechoma..!
Kuna wakati nilitumia Lita 70..Dar to Morogoro..! Ishu ilikuwa ni hiyo MAF..!
Habari wazee Nina Gri Touareg CC 3500, Juzi nilikuwa na safari ya kwenda arusha nimetumia mafuta wastani wa lita 150 kwa kwenda tu, naomba kujua ikiwa ni sawa kwa wenye Touareg au kuna shida mahali. NB: kama huna toaureg sihitaji ushauri wowote wala makelele Asante.
Umetokea wapi kuelekea Arusha?
Ingawa umesema tusio na tourage tusi comment ila inawezekana we know much better.....
Mafuta lita 150 hata ungetokea Bukoba to Kigoma via Dar es salaaam yasingeisha...
Please see below chart.
View attachment 2120125
Habari wazee Nina Gri Touareg CC 3500, Juzi nilikuwa na safari ya kwenda arusha nimetumia mafuta wastani wa lita 150 kwa kwenda tu, naomba kujua ikiwa ni sawa kwa wenye Touareg au kuna shida mahali. NB: kama huna toaureg sihitaji ushauri wowote wala makelele Asante.
Tank itakuwa inavujisha ikague[emoji3][emoji3]
Normal km 70 hadi 100
Hizo gari hizo ni shida tupu. Kuliuza haliuziki, spaire part ni shida , mafundi hawalijui,ulaji wa mafuta ndio huo.Habari wazee Nina Gri Touareg CC 3500, Juzi nilikuwa na safari ya kwenda arusha nimetumia mafuta wastani wa lita 150 kwa kwenda tu, naomba kujua ikiwa ni sawa kwa wenye Touareg au kuna shida mahali. NB: kama huna toaureg sihitaji ushauri wowote wala makelele Asante.