Wenye VW Touareg naomba msaada wenu hapa

bora umeweka angalizo kuwa huitaji MAKELELE
 
Prado za serikali na uendeshaji wao wa kujiachia huwa tunaweka lita 100 Dar to Arusha zinatoboa
 
Prado za serikali na uendeshaji wao wa kujiachia huwa tunaweka lita 100 Dar to Arusha zinatoboa
LC 300 halafu mnazigongesha mizinga Serikali italipia gharama baada ya hapo hao mnaenda kupewa Gari mpya si ndio? Gari mkilichoka mkitaka Gari mpya mnalipigisha mzinga ili mpewe Gari mpya Serikali itanunua si ndio?
 
LC 300 halafu mnazigongesha mizinga Serikali italipia gharama baada ya hapo hao mnaenda kupewa Gari mpya si ndio? Gari mkilichoka mkitaka Gari mpya mnalipigisha mzinga ili mpewe Gari mpya Serikali itanunua si ndio?
Malalamiko yako hayaendani na nilichoandika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…