Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
What a shame
Mbona jeshini bado vipo? Acha uongo wako wewe. BASHITE JEVyeti feki nchi ilishamalizana nao
Jeshini hapakuguswa kabisa. Nazungumzia wale walioguswa.Mbona jeshini bado vipo? Acha uongo wako wewe. BASHITE JE
Ingekuwa sawa kama napo pangeguswa vinginevyo ni double standards tuJeshini hapakuguswa kabisa. Nazungumzia wale walioguswa.
Ni double standard ndio. Hata serikali inajua hilo ila imeshafanya.Ingekuwa sawa kama napo pangeguswa vinginevyo ni double standards tu
Sasa tusiseme Tanzania hapana vyeti feki. Vipo jeshini na hata huko serikalini bado vipoNi double standard ndio. Hata serikali inajua hilo ila imeshafanya.
Sawa sawaSasa tusiseme Tanzania hapana vyeti feki. Vipo jeshini na hata huko serikalini bado vipo