Wenye wabebz JF msiwe mnatuchunia tukiwa tunachat nao humu JF

[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hapana kaka sizungumzii kwa ubaya hata kidogo!

Shida inakuwa miye sijui kama Ely una kidosho humu sasa nikikutania basi bibie anamind balaa!

Avumilie tu ndo ilivyo sasa!
No, naweza kuwa na kidosho lakini tukakubaliana kuachiana space, wengine hawawezi kwa sababu ya wivu na kulinda mabebez wao.

Ukiona hivyo si unawaacha tu. Rayna ukitaka kuchat si uje kwangu tu,[emoji16][emoji16][emoji16][emoji3]
 
No, naweza kuwa na kidosho lakini tukakubaliana kuachiana space, wengine hawawezi kwa sababu ya wivu na kulinda mabebez wao.

Ukiona hivyo si unawaacha tu. Rayna ukitaka kuchat si uje kwangu tu,[emoji16][emoji16][emoji16][emoji3]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mi haijawahi nikuta hyo labda ipo ila sasa sijui maana huwaga sifatiliagi hvyo vitu vidogo vidogo miye kama wapo wanaonichunia wanajiumiza tu!

Wanaume zao siwataki na wala hawajawahi kunitaka wawe na amani tu masikini yarrabbi!
Kuhusu kuchat na wewe [emoji3] [emoji3] thtaki miye
 
Unaniringia sana, poa tu![emoji16]
 
Siwezi amini hatimaye Arsenal tumepata kocha mwingine, Raynavero we timu gani?
 
Sasa kama kuna secret lovers na hawajitokezi mi nifanyeje? Siku hizi ukizimika unauwasha tu, usisubiri...hem do the needful Rayna!
Wanataka uwaanze weye sasa!
Mimi kwangu ushachelewa[emoji3]
 
Unaniringia sana weye, yaani hii mara ya tatu unaringa tu...Dah!![emoji16]
Kuringa ni asili ya mwanamke kakaa....!!!hata km sura km jafongo ila maringo masti![emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…