Wenye wabebz JF msiwe mnatuchunia tukiwa tunachat nao humu JF

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yashakukuta kumbee! Pole sana!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo muache hivyoo kuchatisha mabeb wa watu. Watu hatujuani ila tunaogopana kuibiana. Nasubiri nilichokuomba jana halafu [emoji6][emoji6]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo muache hivyoo kuchatisha mabeb wa watu. Watu hatujuani ila tunaogopana kuibiana. Nasubiri nilichokuomba jana halafu [emoji6][emoji6]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mwenzangu wasiwasi mpk kwenye fake I'd na kufunga PM kote ila mtu anajishtukia kua utamuibia!

Mkwe uliniomba nini miye nshasahau tenaa![emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mwenzangu wasiwasi mpk kwenye fake I'd na kufunga PM kote ila mtu anajishtukia kua utamuibia!

Mkwe uliniomba nini miye nshasahau tenaa![emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Ushakumbuka mkwe najua. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Ukitaka usiibiwe huku kuwa kimya ba babe wako. Wengine hata kama hawamtaki mtu watatembea nae tu kukunyoosha
 
Ushakumbuka mkwe najua. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Ukitaka usiibiwe huku kuwa kimya ba babe wako. Wengine hata kama hawamtaki mtu watatembea nae tu kukunyoosha
[emoji23] [emoji23] mkwe nshakumbuka loooh!muulize shunie ndo anajua

Mwenzangu kama kula bora nile kimya kimya wabaki kuotea otea tu![emoji2] [emoji2] [emoji1] maana mwingine atafanya kusudi tu ili aone hicho kinachofanya umsifie mbebi wako ni kipii!!

Kimya kimya ndo mpango
 
Habari ndo hiyo mambo kimya kimya.
 
Mm ndio mana sasa hivi niko na asiyejulikana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…