Wenye wabebz JF msiwe mnatuchunia tukiwa tunachat nao humu JF

Lakini pia wengine hatumjui mama watoto wako. Lela (wivu wa ndoa) ni lazima uwepo kwa kila binadamu, Ila usiwe wa kupitiliza ukaua. Kuna mkuu anaitwa "Mama G" au "Mama Sabrina" huwa anasema ana dume, Hivyo huwa anapunguza msongamano kwa njia hiyo.
Mara 1 moja ukilitaja jike lako, Msongamano utapungua na hawata mnyatia tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…