Wenye wabebz JF msiwe mnatuchunia tukiwa tunachat nao humu JF

Wenye wabebz JF msiwe mnatuchunia tukiwa tunachat nao humu JF

kuna huyu mzee mnamwita babu Asprin humu ndani akija naombeni mumpe onyo naona siku hizi analike like post za mama watoto wangu.

nimeshamreport kwa mods lakini wapo upande wake. sitaki vita na mtu. mjulisheni na mfahamisheni sitaki utani.

nitamvunja taya.
Ha ha haa ..
Wewe na swahiba wako Babu Asprin hatuwezi kuingilia ugomvi wenu. Huu ujumbe mwambie wewe mweyewe.
 
Acha watu walinde mahusiano yao, sio kazi rahisi kufanya mahusiano kuwa strong, hasa haya ya Gerezani-Kimara, ila kama mtu anataka kumlinda mwenzake, i think its fair kufanya hivyo, na wewe ukiona, jaribu kuwapa space. Njoo uchat na Eli, ye hana shida[emoji16][emoji16][emoji3]
hahaaa... mapenzi ya gerezeni Kimara....

by the way mkuu hii content "" Sakayo ameiona..??
 
Nikweli mnachat hapahapa , lkn nani anajua kinachoendelea nyuma??

Yapasa ufahamu kua kujengA Imani nikazi kubwa sanaaa km ilivyokua kujenga mnara wa babeli ,, hamna mtu atakayeona kawaida tuuu kirahisi rahisi namna ivo .

Ukizingatia yakua Tone ya chats inatofautiana, huenda ww ukawa nalugha lain kumshinda bi dada , unahisi nn hapo ???

Ivo nisahihi kabisa kwa mtu kukuonyesha kua lazima ukae mbali na familia yake nisehem ya kujilinda .
Mzee baba " mimi mahaba ya Humu " hapana kwakweli" labda iwe " ya wimbo wa Jaymo + ngwair" .....mambo ya kutangazwa kuwa mimi ndiye main niqa" kumbe kuna wtu wananitafunia Karanga zangu PM ...huku wana nichora na kuniona Tomaso ....siwezi " wallahi wengine tuna mioyo midogo kama wa kuku" tusije kubabuka roho bure
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mi haijawahi nikuta hyo labda ipo ila sasa sijui maana huwaga sifatiliagi hvyo vitu vidogo vidogo miye kama wapo wanaonichunia wanajiumiza tu!

Wanaume zao siwataki na wala hawajawahi kunitaka wawe na amani tu masikini yarrabbi!
Kuhusu kuchat na wewe [emoji3] [emoji3] thtaki miye
hahaha..tena wewe jinsi ulivyokuwa na maneno machafu yasiyo piga mswaki...huyo atakaye kuingia kichwa kichwa kisa ana wivu...mbona ajiandae kuweka pio pio la kwenye moyo
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] mkoloni atawale makoloni mengi looh!

Ila daah mjini kuna mambo hapa!hilo la usiri nalo pia neno hilo!kuna watu humu nyokooo!wanakula vichwa km vinyozi!
hahaha mamameeee .....lipa mbavu zangu ""
 
Back
Top Bottom