Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Dah aliye kuuzia hii bhangi abarikiwe, ma jobless pro max tume kusikia. 😂😃nyie fanyeni mambo ya maana tu, hivyo vitu vitakuja vyenyewe.
najua nyie ni vijana wadogo kabisa under 25
mpende kufuatilia na mada ngumu(siasa, uchumi nk) mapenzi mapenzi muache
Kuna Uzi unaitwa mtongozano kiutu uzimaDuh sasa hiyo picha sasa!
Mi najiuliza inakuwaje kuwaje hata sipati jibu, angetokea mmoja hapa akaja kitoa ushuhuda ingependeza
Weka linkKuna Uzi unaitwa mtongozano kiutu uzima
Sawa Mkuunyie fanyeni mambo ya maana tu, hivyo vitu vitakuja vyenyewe.
najua nyie ni vijana wadogo kabisa under 25
mpende kufuatilia na mada ngumu(siasa, uchumi nk) mapenzi mapenzi muache
Weka link
Dah nime rudia kusoma, aisee maneno yako yana choma kama moto 😂 😂nyie fanyeni mambo ya maana tu, hivyo vitu vitakuja vyenyewe.
najua nyie ni vijana wadogo kabisa under 25
mpende kufuatilia na mada ngumu(siasa, uchumi nk) mapenzi mapenzi muache
Nikatongoze sasa😂.Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima
Wana Chit Chat!!! Huu uzi unawekwa hapa kwa malengo mazuri tu kama vile; 1.Kuepusha kuharibu nyuzi nyingine!! Inatokea mara nyingi sana hapa jukwaani, mistari inashushwa sehemu yoyote ile so kunakuwa na mwingiliano wa mada. Kama kuna uliyempenda kutoka jukwaa lolote lile mlete hapa umwambie...www.jamiiforums.com
vijana waache kufukuza sketi wafanye vitu vya maana sketi zitawamwagikia.Dah nime rudia kusoma, aisee maneno yako yana choma kama moto 😂 😂
Inatosha mkuu, tumekuelewa sana Intelligent businessman wachana na kitu inaitwa mapenzi in dj afro voice'svijana waache kufukuza sketi wafanye vitu vya maana sketi zitawamwagikia.
Safari njema mkuu 🤣Nikatongoze sasa😂.
Wana sema don't chase butterflies, just focus on your garden.vijana waache kufukuza sketi wafanye vitu vya maana sketi zitawamwagikia.
mimi hata Dem wa kusingiziwa Sina😃😂Inatosha mkuu, tumekuelewa sana Intelligent businessman wachana na kitu inaitwa mapenzi in dj afro voice's
Aku🚮💔, mshamba_hachekwi kashanipa elimu ya vitu vya kuweka kipaumbele😂Safari njema mkuu 🤣
Imekaa poa sanamimi hata Dem wa kusingiziwa Sina😃😂
mshamba_hachekwi ana DEMU humu shauri AkoAku🚮💔, mshamba_hachekwi kashanipa elimu ya vitu vya kuweka kipaumbele😂
Wanasema sikiliza ujumbe/ushauri usinuangalie mtoa ushauri yupoje😂 nitaendelea eb nipokee simu ya bae🏃🏿
Afu siku hizii unanitenga sana mkuu! 😂😂
Sisi ni ndugu tusifanyiane ivooo ... Makamu usiweke kimya sanaaaa kiasi cha kushindwa kunishtuaaaa
Nimeliaaaa sana kusikia umeombwa afuuu hamsiniiiiii 🥹🥹🥹😭
Sio kweli.mshamba_hachekwi ana DEMU humu shauri Ako