Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haswaa! Mimi na SweetyCandy ni 👩❤️💋👨si yupo na Tate Mkuu hadi kiwanja wamechagua kwaajili ya valentino,
Oya alafu ebu wacha utani hao madogo piga chini ijumaa to sunday wee wangu nataka tukajifiche pale rotana tugegedane weee mpaka nikojowe povu.😂😂😂kizuri kula na nduguyo au sio?
Kabisa forever willalways love each otherHaswaa! Mimi na SweetyCandy ni 👩❤️💋👨
Kuna mmoja anaenda na upepo tu, akiona namchekesha anakuja, akikumbuka sina hela anarudi, kama una hela atakufaa huyu anaitwa Qashy LilithUkipata wawili nipasie mmoja mkuu
😂Unanitafuta Kijana masikini 😂😂😂Kuna mmoja anaenda na upepo tu, akiona namchekesha anakuja, akikumbuka sina hela anarudi, kama una hela atakufaa huyu anaitwa Qashy Lilith
Sawa mimi nimekuacha uende salama ila ipo siku utaikumbuka hii nafasi.
I want to cry in Dubai pls😂😂🙏Sawa mimi nimekuacha uende salama ila ipo siku utaikumbuka hii nafasi.
Pesa huja na kupita ila mapenzi ya dhati kutoka kwenye uvungu wa moyo hubaki daima.
Sawa maisha mema mamaI want to cry in Dubai pls😂😂🙏
Huyo ana komwe mimi simtaki asije nipiga kichwa bure
Wenye makomwe ndo tuna mapenzi ya dhatiHuyo ana komwe mimi simtaki asije nipiga kichwa bure
🤣🤣🤣🤣 ganda limekuganda hilo, ona post yake hapo juu utiririke nae.Huyo ana komwe mimi simtaki asije nipiga kichwa bure
Wewe umesema hutaki mapenzi ya dhati unataka maokoto tuWenye makomwe ndo tuna mapenzi ya dhati
Tunapenda penye maokotoWewe umesema hutaki mapenzi ya dhati unataka maokoto tu
Humu si rahisi sana kupata singo.Tupeane uzoefu wakuu, inauma sana unaweka chapisho lako kuhusu mambo ya kilimo mtu anakuja kuchati na demu wake, mara mashemeji, mara mawifi, hivi hawa mademu zenu mliwezaje kuwapata?
Mwisho kabisa kama kuna demu mnamfahamu kuwa yuko singo humu nishtueni nianze kumlia doria.
😆😆😆 kwa nini sasa hujamwambia?Humu si rahisi sana kupata singo.
Ukipata mnaendana mnaruka tu na hivi ni mwezi wa pili huu jitahidi tu usiishe hivihivi.
Mimi ninae humu na huwa kila mmoja wetu anamfeel mwenzie kivyake maana bado hatujaambiana
Sio mimi tu kumwambia hata yeye hajaniambia bado. Nadhani tutaambiana siku moja. Yeye ni mke wa mtu nami upande wangu ni baba Wa watoto watano😆😆😆 kwa nini sasa hujamwambia?