Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shemeji gani tena! Mbona unataka kunizibia riziki?😂😂😂😂😂mi nilijuaga wako!samahani shemeji
Zina kazi gani hizo mkuu inayo oana na ninachokitaka?Mirinda nyeusi take away zipo za kutosha sana. Ni wewe tu na buku buku zako.
Kwani wewe unataka nini mkuu?Zina kazi gani hizo mkuu inayo oana na ninachokitaka?
Demu wa kubadilisha nae mawazo humu jeiefu na kuringanae kwenye machapisho ya wengineKwani wewe unataka nini mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huu Uzi usiposhika Petrol mbeleni huko sijui ?
Mana naona ID za kijasusi zinatinga jamvini.
Kumbe ehh 😀Ukishaona pm imepigwa kufuli jiongeze watu wako india.
Hili nalo nu kama lina ukweli hivi mkuu, sema umafia wa kumpora mtu nao ni kipengeleKama unamtaka aliye single utasubiri Sana, watu wana watu wao pambania kombe Mkuu.
We pora tu mkuu wala sio dhambi.Hili nalo nu kama lina ukweli hivi mkuu, sema umafia wa kumpora mtu nao ni kipengele