Tajiri Sinabay
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 1,333
- 3,619
- Thread starter
- #161
Huyo si alikuwa na bwana wake ambae wanafanana IDunique angekuwepo angekufaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo si alikuwa na bwana wake ambae wanafanana IDunique angekuwepo angekufaa
jiingize kwenye maongezi ya watu vile ukihisi umevutiwa ila.humu hadi upendwe kazi maana wengi wanalalamikiwa ila mie sio.mwanaume nikutwe na jambooOhoo kwahiyo mpaka niishi humu muda mrefu ili nipate kuzoeana na watu ndiyo naweza nikaokota kabebe! Sawa.
Hata mimi nashangaa waliwezaje? Nasubiria jibu ili na mimi kuna dada mmoja kama yupo single niende nae sawa.Tupeane uzoefu wakuu, inauma sana unaweka chapisho lako kuhusu mambo ya kilimo mtu anakuja kuchati na demu wake, mara mashemeji, mara mawifi, hivi hawa mademu zenu muliwapataje muliwa aprochi kijeiefu jeiefu au ilikuwaje hadi mukawapata?
Mwisho kabisa kama kuna demu munajuwa yuko singo humu nishtueni nianze kumlia doria.
Mh ikawaje kiongozi ukafunguka au ilijileta yenyewe tu.Tulifahamiana kupitia uzi fulani,sikumbuki title yake.
Nimemuona kaja 😂Huyo si alikuwa na bwana wake ambae wanafanana ID
Walaaaaa nimeamua kumjibu hvyo kwa ni ye ye haoni ID ya kike hii.. asee niwe na ID mbili ili iwejee?amejisahau uyo ni ME amelog in kwa ID yake ya KE 🤣
Wanalalamikiwa kwa lipi?jiingize kwenye maongezi ya watu vile ukihisi umevutiwa ila.humu hadi upendwe kazi maana wengi wanalalamikiwa ila mie sio.mwanaume nikutwe na jamboo
Acha kuongea mafumbo ukitaka kuninanga we ninange tu kuw freejiingize kwenye maongezi ya watu vile ukihisi umevutiwa ila.humu hadi upendwe kazi maana wengi wanalalamikiwa ila mie sio.mwanaume nikutwe na jamboo
afadhali 😂Ni mtazamo wake huo, usiwatishe 😅😅😅
Jamani umenitosa.mwenyewe ukasemaje nikaacha mazoea saivi mie nakusema na mafumbooAcha kuongea mafumbo ukitaka kuninanga we ninange tu kuw free
Sijui bhana waulize , ..... wakujibuWanalalamikiwa kwa lipi?
Yupo kwenye post namba ngapi nikamchungulueNimemuona kaja 😂
Unaongea kwa mafumbo ya nini si useme tuJamani umenitosa.mwenyewe ukasemaje nikaacha mazoea saivi mie nakusema na mafumboo
Kimemlamba yeye, wewe tulia na mimi 😅afadhali 😂
Kwanza mm nishawai kukuambia nakupenda?Jamani umenitosa.mwenyewe ukasemaje nikaacha mazoea saivi mie nakusema na mafumboo
Wewe ukoje unatakaje???Unaongea kwa mafumbo ya nini si useme tu
Usifaidishe watu wengineWewe ukoje unatakaje???