Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Watu wanawai mtungo😂😂😂😂Mmk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanawai mtungo😂😂😂😂Mmk
😂SafiiNikiwa na hela siwezi kutafuta mtu ili atumie hela zangu labda anitafute yeye
Ewaaaa, jibu murua kabisaSio kweli ... Sisi ni matajiri wa upendo, ushikamano na mashirikianooo!
Lakini ukwasi, fedha mafekecheeee hatuna
Mchaga yule ye ni pombeAtakuwa ni min -me huyo
😂😂 Atakuwa yupo kuifunga weekendMchaga yule ye ni pombe
Pesa ni kitu cha kupita tu kikubwa ni mapenzi ya dhati kutoka moyoniHela ipo lkini
tatizo la kutumia AI kudesign picha 🤣 ona sasa Chaama chaa maa POROA MAIXHuu ni uongoo bhana, humu wote sio matajiri hata ma jobless pro max tumo.
Mimi Intelligent businessman ni raisi wa chama cha ma jobless pro max, makamu ni Bolotoba,
katibu ni min -me, wakili wa ma jobless ni Selikavu, waziri wa mambo ya ndani Thecoder, msajili wa chama Cha ma jobless ni dosho12, mratibu wa mipango ni Edo kissy
Msemaji wa chama Cha ma jobless pro max ni makutupora
Kidumu chama Cha ma jobless pro max
View attachment 3231007
Mimi sio tajiri Leo tu nimeombwa 50k ya valentine nimepata homaHuu ni uongoo bhana, humu wote sio matajiri hata ma jobless pro max tumo.
Mimi Intelligent businessman ni raisi wa chama cha ma jobless pro max, makamu ni Bolotoba,
katibu ni min -me, wakili wa ma jobless ni Selikavu, waziri wa mambo ya ndani Thecoder, msajili wa chama Cha ma jobless ni dosho12, mratibu wa mipango ni Edo kissy
Msemaji wa chama Cha ma jobless pro max ni makutupora
Kidumu chama Cha ma jobless pro max
View attachment 3231007
Kwa uandishi huo sioni ukipata mtu asee🥲
Sure boss😂😂 Atakuwa yupo kuifunga weekend
Naomba uwe wangu kama ni ke kipato changu ni 5k Ila baada, ya Mwaka nita upgradeKidumu,
Hata kama ni majobless tujitahidi tuwe na pisi, kuwa single ni shido😂 jokin😂
kuna wadada wazuri sana humu,vipi wewe Usha wahi pata pia 🤣😂
Tafuta hela kijanaTupeane uzoefu wakuu, inauma sana unaweka chapisho lako kuhusu mambo ya kilimo mtu anakuja kuchati na demu wake, mara mashemeji, mara mawifi, hivi hawa mademu zenu muliwapataje muliwa aprochi kijeiefu jeiefu au ilikuwaje hadi mukawapata?
Mwisho kabisa kama kuna demu munajuwa yuko singo humu nishtueni nianze kumlia doria.
Pole mkuu,Mimi sio tajiri Leo tu nimeombwa 50k ya valentine nimepata homa
Vitaje tujue tujipange vipi mkuu😂😂kuna wadada wazuri sana humu,
ila sipendeki(kuna vigezo muhimu nakosa)
Wtf, I'm men broNaomba uwe wangu kama ni ke kipato changu ni 5k Ila baada, ya Mwaka nita upgrade
naye ni mchicha mwibaDuh! Halafu na huyu anaitwa braza chogo ni shoga au? Maana nashindwa kumtambua hasa michango yake kwenye machapisho.
Ikisha zipata!Tafuta hela kijana