Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 463
- 1,009
Hivi imewahi kuwatokea mtoto wenu mdogo kamkazania au kumng'ang'ania a stranger ambaye hamjui kamuona tu ila fasta anamkazania hata kumlilia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni kawaida mkuu. Mimi wa kwangu alikuwa analilia wadada weupe[emoji23][emoji23][emoji23]. Yaani ukiwa mweupe tu umempata. Wanambeba ila wakifanya kama kuondoka nae au mimi nijidai kuondoka analia.
Nasubiri awe mkubwa nione kama ndio wanawake atakaowapenda (weupe).
Sana yaani. Kuna wengine unakuta ni wakike ila wanapenda wanaume balaa. Yaani hataki kubebwa na mwanamke kabisa ila mkaka weee anapenda awe anamjua awe hamjui yeye full kumganda.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watoto wana vituko mno.
Akikuwa atakuwa kama maguNi kawaida mkuu. Mimi wa kwangu alikuwa analilia wadada weupe😂😂😂. Yaani ukiwa mweupe tu umempata. Wanambeba ila wakifanya kama kuondoka nae au mimi nijidai kuondoka analia.
Nasubiri awe mkubwa nione kama ndio wanawake atakaowapenda (weupe).
Wa namna hii niliwah kumuona tulikuwa tupo ferry tunasubiria,kila kitoto kilikuwa kinaenda kwenye miguu ya kila mwanaumeSana yaani. Kuna wengine unakuta ni wakike ila wanapenda wanaume balaa. Yaani hataki kubebwa na mwanamke kabisa ila mkaka weee anapenda awe anamjua awe hamjui yeye full kumganda.
wa kwangu mtoto wa pili ni mweupe halafu ni wa kiume, anapenda sana watu weusi yaani ukija tu na rangi yako ya udongo yeye ashakukubali yaaniNi kawaida mkuu. Mimi wa kwangu alikuwa analilia wadada weupe😂😂😂. Yaani ukiwa mweupe tu umempata. Wanambeba ila wakifanya kama kuondoka nae au mimi nijidai kuondoka analia.
Nasubiri awe mkubwa nione kama ndio wanawake atakaowapenda (weupe).
Hiyo ndio Nacher ya maumbile kama umenitice mtoto wa kike anampenda sana baba ake na mtoto wa kiume anampenda sana mama ake yaani haya Mambo Mungu kayaweka toka mtoto anazaliwa tena wanakuwa na wivu hao.Sana yaani. Kuna wengine unakuta ni wakike ila wanapenda wanaume balaa. Yaani hataki kubebwa na mwanamke kabisa ila mkaka weee anapenda awe anamjua awe hamjui yeye full kumganda.
Huyo wa kike naye akikua atakua .....Sana yaani. Kuna wengine unakuta ni wakike ila wanapenda wanaume balaa. Yaani hataki kubebwa na mwanamke kabisa ila mkaka weee anapenda awe anamjua awe hamjui yeye full kumganda.
Dhambi ujueHuyo wa kike naye akikua atakua .....
Hako ni kamalaya kabisa Hannah hapo kaandalie maisha mazuri ili watoto wakali wakakubali ili kasije kufa na ngomaNi kawaida mkuu. Mimi wa kwangu alikuwa analilia wadada weupe[emoji23][emoji23][emoji23]. Yaani ukiwa mweupe tu umempata. Wanambeba ila wakifanya kama kuondoka nae au mimi nijidai kuondoka analia. Nasubiri awe mkubwa nione kama ndio wanawake atakaowapenda (weupe).
Shindwa kwa damu ya Yesu.Hako ni kamalaya kabisa Hannah hapo kaandalie maisha mazuri ili watoto wakali wakakubali ili kasije kufa na ngoma
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Kwani watoto wakali ndio hawana ngoma? Au akiwa maisha mazuri ukimwi hauji?Hako ni kamalaya kabisa Hannah hapo kaandalie maisha mazuri ili watoto wakali wakakubali ili kasije kufa na ngoma
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Kama nakuona ulivyofunga macho kunikemea kwa hilo jinaShindwa kwa damu ya Yesu.
Maswali ya kidaktari hayoKwani watoto wakali ndio hawana ngoma? Au akiwa maisha mazuri ukimwi hauji?
Ukitoa wazazi watu pekee wanaokuombea mafanikio ni wezi.Maswali ya kidaktari hayo
Niulize kuanzia tarehe 4 kuendelea mshahara ukiisha nitakuelekeza kwasasa naenjoy mshahara wangu
Karibu tufurahie jasho langu.
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Hahahahahahaha,dhambi tena ?Dhambi ujue
Hapa sawa sasa.Kama nakuona ulivyofunga macho kunikemea kwa hilo jina
Kuwa na amani ndugu ni masiala tu hayo .
Hiyo ni psychological issue hususani kwa hizi jinsia zetu , mimi mwenyewe nikiwa mdogo nilitokea kumpenda mdada mtu mzima kiasi cha kuwa na wivu naye , nasimuliwa hivyo japo kwasasa nikimuona hata sikumbuki lolote
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Ndio unamtabiria mtoto nini hiyooHahahahahahaha,dhambi tena ?