Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Mkuu Mapito Vipi Hayaelezeki Kwani Umekuwa Mhusika.😂Tuache utani HAYA n mapito ayaelezeki dah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Mapito Vipi Hayaelezeki Kwani Umekuwa Mhusika.😂Tuache utani HAYA n mapito ayaelezeki dah
Sasa hivi wanaliwa na maboss zao...Zama hizi kazi z na ndoa zinapingana sana kwa wanandoa
Zamani ukiamishwa mkoa na mkeo na yeye anahamishiwa mkoa huo
Suguye mwenyewe ana internal struggles zake ambazo hataki wananchi wazijue....ukute naye ni muhanga wa hizi mbavu za kushotoIjumaa naenda kwa suguye namchukulia mafuta na maji ya uzima yoote HAYA ashindwe mwenyewe kujiinda
Dom chapuu....ukitoka alfajiri saa 6 tu upo townNaambiwa wanakujaga bila KUPIGA simu nyumban wawafumanie wake zao hahahahaaanapitatu
Siku Hizi Maji Mazito Kuliko Damu.Damu Yangu MKUU anayopitia lazina niumie
Yeah Maji Yamekuwa Na Tope Jingi SanaHahahaaaa yamegeuka topre achatu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wadada wa Mbeya, washindwe wao tyuuh.Na anavyojua kuhonga kama namwona wakimgombania
Angalia chini kuna simu BABE ANAPIGA SIMUHiyo miguu mbona kama imekaa ndivyo sivyo.?
Yah nimeona hy simu ila nazungumzia miguu umeiona jnc ilivyo.?Angalia chini kuna simu BABE ANAPIGA SIMU