Wenye wivu mlie tu, mambo ya Kajala si mchezo

Tatizo amepanda business kwa first time so unusual to her!!!! Wengine mbona kawaida hiyo?? ila atuambe kwa biashara ipi au za mapedejee??? maana nasikia Clemen wa Wema kashatia ndani.
 
Nakumbka mwanangu first born alisoma Arusha School na nilikuwa namkatia business enzi za ATC!!! Ila iwe heri usikute naye ni punda.
 

Sema tu nawewe ulitaka kutuambia umepanda ndege tena za ulaya lol! Ngoja wengine tusubiri fastjet ije Kigoma nasisi tupate cha kusimulia.
 
Reactions: naa
Aisee hongera zake...mana wengine hata fastjet hatujawahi kupanda
 
Tunaomba tu waende huko kiustaarabu maana tumechoka na kashfa za unga na umalaya huko Hongkong,Maccau,Guangzhou.
 

Huenda na yeye kalipiwa na ofisi
 
Ntaweka tumboni na huku hivi kwenye mfuko wa nyuma....


Mfuko wanyuma ? Hahaaaaaaaaa !
Nimetafsiri vibaya aisee !

Ntakucheki ngoja tushughulikie kesi ya Jacky cliff !

Mana sidhani kama atarudia ! ==> akigoma kuendelea uta m replace !
 

Mbwembwe nyiingi kumbe promo tu.
 
Mfuko wanyuma ? Hahaaaaaaaaa !
Nimetafsiri vibaya aisee !

Ntakucheki ngoja tushughulikie kesi ya Jacky cliff !

Mana sidhani kama atarudia ! ==> akigoma kuendelea uta m replace !

Wala sio vibaya huo huo mfuko uliotafsiri, ndo ntaweka...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…