Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Nakushauri nenda na katoni ya kondomu kama kazi yako ni ya muda mrefu.
Maana Wambulu hawajui kumnyima mtu kitu.
Maana Wambulu hawajui kumnyima mtu kitu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni chache sana,wanapenda kavukavu mwanzo mwisho.🤣🤣 inamaana huko hamna kondomu
Chief upo Mbulu sehem gani?Karibu mdau logde zipo nyingi sana na pachuti utapata za kutosha nitafute ukifika
Kama kuna ka ukweli kwa mbali..wadada wa Mbulu hawanuki papuchi kabisa, utafaidi sana
Za kupanga zina mlango wa kioo na grill hapohapo 😂Wasalaam.
Wakuu hivi karibuni natarajia kwenda Mbulu kikazi sasa ningependa kufahamu ni lodge gani nzuri zipo hapo town.
Na vipi kuhusu nyumba za kupanga, zinapatikana?
Alfred saigilomagema
Guwang,🚶,na ni manyara nasio singida Kama mdau mmoja nanavyotaka kukuchuuza,Ila pia ungesema ni teacher mtarajiwa au kada ipi Kwani wenyeji tupo🚶Wasalaam.
Wakuu hivi karibuni natarajia kwenda Mbulu kikazi sasa ningependa kufahamu ni lodge gani nzuri zipo hapo town.
Na vipi kuhusu nyumba za kupanga, zinapatikana?
Alfred saigilomagema
Hatuna hiyo wilaya huku!Mbulu ipo mkoa wa singida,ukifika utapafahamu vizuri
hauna picha?Kuna wanawake wazuri balaa
PHatuna hiyo wilaya huku!
Tupienimoo na tupichapicha ili tumielewenihauna picha?
Mjini chief njooo dmChief upo Mbulu sehem gani?
Kama una ma stress yako, kavu kavu ni stress remover kinyama!Ni chache sana,wanapenda kavukavu mwanzo mwisho.
Manyara na sio SingidaMbulu ipo mkoa wa singida,ukifika utapafahamu vizuri
Jana nilikuwa hapo Bassotu mara moja.Ukifika mbulu nistue uje Basutu ule kambare wa ziwani