Wenyeji wa Dar msaada wenu

Wenyeji wa Dar msaada wenu

Mropoka Hovyo

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2023
Posts
446
Reaction score
1,253
Nauli ni kiasi gani na ni kituo gani nishuke zilipo ofisi za boti za Azam nikitokea kituo cha mabasi cha Magufuli au kwa bodaboda ni kiasi gani kutoka stand ya Magufuli mpaka zilipo Hizo ofisi.

NB: Mimi ni mgeni Dar es salaam na naelekea Zanzibar. Kwasasa nipo kwenye Basi.
 
Nauli ni kiasi gani na ni kituo gani nishuke zilipo ofisi za boti za Azam nikitokea kituo cha mabasi cha Magufuli au kwa bodaboda ni kiasi gani kutoka stand ya Magufuli mpaka zilipo Hizo ofisi.

NB: Mimi ni mgeni Dar es salaam na naelekea Zanzibar. Kwasasa nipo kwenye Basi.
ukifika mbezi magufuli nishtue Nikupeleke kiboss hadi azam marine.. total tsh. 20,000../= bei ya bolt.

Alfu muda huu upo wapi maana boti mwisho za azam ni saa kumi au kumi na moja hivi..
 
Nauli ni kiasi gani na ni kituo gani nishuke zilipo ofisi za boti za Azam nikitokea kituo cha mabasi cha Magufuli au kwa bodaboda ni kiasi gani kutoka stand ya Magufuli mpaka zilipo Hizo ofisi.

NB: Mimi ni mgeni Dar es salaam na naelekea Zanzibar. Kwasasa nipo kwenye Basi.
Ukishuka magufuli toka nje ya kituo.chukua boda mwambie akupeleke kimara mwisho kituo Cha mwendokasi..ikifika hapo ingia ndani ya daraja vuka ingia kituoni kata tiketi Kisha subiri magari yaloandikwa kivukoni.yatakapogeuzia mkishuka waombe watu wakuonyeshe ferry
 
Ukishuka magufuli toka nje ya kituo.chukua boda mwambie akupeleke kimara mwisho kituo Cha mwendokasi..ikifika hapo ingia ndani ya daraja vuka ingia kituoni kata tiketi Kisha subiri magari yaloandikwa kivukoni.yatakapogeuzia mkishuka waombe watu wakuonyeshe ferry
Si apande hapohapo mbez gari ya mwendo kasi ya kimara
 
Back
Top Bottom