Wenyeji wa Dar msaada wenu

Wenyeji wa Dar msaada wenu

Nakujua kwa mbaaaaliii...
Nakumbuka Kipndi hiko ulikua karibu na bichwa 🙌🙌😁😁😁
Sasa wewe mfatishe mzabzab ukajua unanimudu, au ukajua mimi sample za bichwa..!!

Wewe endelea kucheza na bichwa na topic zenu mavi mavi, huku unakotaka kugusa kuna vinywaji vya gharama.!!
 
Sasa wewe mfatishe mzabzab ukajua unanimudu, au ukajua mimi sample za bichwa..!!

Wewe endelea kucheza na bichwa na topic zenu mavi mavi, huku unakotaka kugusa kuna vinywaji vya gharama.!!
😁😁😁😁😁😁 Daaah ngoja kwanza nilewe...
Nakutafuta katika uzi mwingine nakutolea uvivu wewe
 
Au sio??
Jitahidi ulewe ila kuwa makini popobawa karudi…!!! 😹😹
😁😁😁😁 Nina chupi la bati....
Ngoja nilewe nakuja na tag languu hilo wee huku si unaona umeniweza..

Ngoja kichwa kipate motrooo hapo ndo utajua ujui 😁😁😁
 
😁😁😁😁 Nina chupi la bati....
Ngoja nilewe nakuja na tag languu hilo wee huku si unaona umeniweza..

Ngoja kichwa kipate motrooo hapo ndo utajua ujui 😁😁😁
Utajichosha bora uendelee kutoa maelekezo kwa huyu mgeni..!! Au mtafute bichwa mbomoane vinyeo vyenu..!! 😹😹😹
 
Utajichosha bora uendelee kutoa maelekezo kwa huyu mgeni..!! Au mtafute bichwa mbomoane vinyeo vyenu..!! 😹😹😹
Muache bichwa analea sasa hvi...
😁😁😁😁 Mbona unafanya mambo yawe magumu..
Unafanya maisha yawe magumu sana
 
Nakushauri mjini hapa hakuna bodaboda mwenye akili timamu usijidanganye unawahi wakaenda kukutia chini ya mwendokasi bure ukawahi kwa aliyekuumba.

Cha kufanya hakikisha unaamka mapema wahi hapo Mbezi Louis kamata Bus Mwendokasi ya Kivukoni the rest utaenda kuuliza mbele kwa mbele.
 
Kuna haja gani ya kumnanga? Mbona watu kibao wanakuja humu kuuliza tuu namna ya kupika, walishindwa kwenda YouTube? Ama mafuta ya nywele au lotion kwani walikosa cosmetics na facial parlour?

Jitahd kuwa chanya kwenye comment ya mwingine
Nyinyi ndio mnapenda watu wa aina hii ili muwapige.

......Kwa unavyoona haya maelekezo humu ndani yanamsaidia huyu ndugu yenu wa Simiyu kweli?
 
Nyinyi ndio mnapenda watu wa aina hii ili muwapige.

......Kwa unavyoona haya maelekezo humu ndani yanamsaidia huyu ndugu yenu wa Simiyu kweli?
Tuelemishane kidogo hapo

Tuchukulie katoka simiyu na Hana ndugu dar es salaam hii, ama huko hakuna anaejua namna ya kufika Zanzibar kutoka simiyu zaidi ya kufika mpaka dsm kwanza.....

Ndo kafika mbezi labda mchana wa Leo .......

Ukizingatia ni member humu na anaona watu wanapost taarifa ama kuuliza kitu chochote wakihitaji kujua... Alikuwa na haki hiyo...

Pengine alikosea kama alitoka Jana angetakiwa aulize toka jana ili mpaka anafika dsm awe anajua atatoka point A kwenda B na ni shngp!

kama bado hajaanza safari ni fresh au kafikia guest kusubr kesho apate boat vizuri pia!

Mkuu mimi sio mpigaji ni kijana mtulivu sana aseeh 👊
 
Ni kweli
Akibolt ataokoa muda sana,bahati nzuri anapoenda panafahamika...muhimu asiseme yeye ni mgeni manake watu wa usafiri wakijua ni mgeni upigaji wa nauli haukosekani
Watu wa dasalama wahuni sana wakishajua ni mgeni wanakupokea. Wasipokuibia kikatili wanakuibia softly kwenye nauli.
 
Back
Top Bottom