Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Nipo na labella hapa tunasema kwanini uliwaza kusema vileKuna nini tena huku. Mie nacheki thimbaaa hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo na labella hapa tunasema kwanini uliwaza kusema vileKuna nini tena huku. Mie nacheki thimbaaa hapa
Nakujua kwa mbaaaaliii...Unanijua lakini?? Mzabzab atakuponza
Sasa wewe mfatishe mzabzab ukajua unanimudu, au ukajua mimi sample za bichwa..!!Nakujua kwa mbaaaaliii...
Nakumbuka Kipndi hiko ulikua karibu na bichwa 🙌🙌😁😁😁
😁😁😁😁😁😁 Daaah ngoja kwanza nilewe...Sasa wewe mfatishe mzabzab ukajua unanimudu, au ukajua mimi sample za bichwa..!!
Wewe endelea kucheza na bichwa na topic zenu mavi mavi, huku unakotaka kugusa kuna vinywaji vya gharama.!!
Au sio??😁😁😁😁😁😁 Daaah ngoja kwanza nilewe...
Nakutafuta katika uzi mwingine nakutolea uvivu wewe
😁😁😁😁 Nina chupi la bati....Au sio??
Jitahidi ulewe ila kuwa makini popobawa karudi…!!! 😹😹
Utajichosha bora uendelee kutoa maelekezo kwa huyu mgeni..!! Au mtafute bichwa mbomoane vinyeo vyenu..!! 😹😹😹😁😁😁😁 Nina chupi la bati....
Ngoja nilewe nakuja na tag languu hilo wee huku si unaona umeniweza..
Ngoja kichwa kipate motrooo hapo ndo utajua ujui 😁😁😁
Muache bichwa analea sasa hvi...Utajichosha bora uendelee kutoa maelekezo kwa huyu mgeni..!! Au mtafute bichwa mbomoane vinyeo vyenu..!! 😹😹😹
Kusema nini tenaNipo na labella hapa tunasema kwanini uliwaza kusema vile
Acha tuu kwanza mkuu 🙌🙌🙌Kusema nini tena
Zinaenda fresh tuIla Kwa bahati mbaya boda hazituhusiwi posta.🙆
Nyinyi ndio mnapenda watu wa aina hii ili muwapige.Kuna haja gani ya kumnanga? Mbona watu kibao wanakuja humu kuuliza tuu namna ya kupika, walishindwa kwenda YouTube? Ama mafuta ya nywele au lotion kwani walikosa cosmetics na facial parlour?
Jitahd kuwa chanya kwenye comment ya mwingine
Sawa Mayunga😄Zinaenda fresh tu
Tuelemishane kidogo hapoNyinyi ndio mnapenda watu wa aina hii ili muwapige.
......Kwa unavyoona haya maelekezo humu ndani yanamsaidia huyu ndugu yenu wa Simiyu kweli?
Nani atamsaidia kusoma vituo😂au ataulizaNimekadiria...ila jamani
Bora apande mwendokasi
Watu wa dasalama wahuni sana wakishajua ni mgeni wanakupokea. Wasipokuibia kikatili wanakuibia softly kwenye nauli.Ni kweli
Akibolt ataokoa muda sana,bahati nzuri anapoenda panafahamika...muhimu asiseme yeye ni mgeni manake watu wa usafiri wakijua ni mgeni upigaji wa nauli haukosekani
Atashukia mwisho kivukoni.itamsaidia.ndio pona yakeNani atamsaidia kusoma vituo😂au atauliza