Tetesi: Wenyeviti/Makatibu wa CCM kujiunga na upinzani, kuungana na Lowassa!

Tetesi: Wenyeviti/Makatibu wa CCM kujiunga na upinzani, kuungana na Lowassa!

MAHANJU

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
5,252
Reaction score
8,003
Kuna tetesi kua kwa sasa wale wanachama wa CCM ambao LOWASA aliwahi kusema watamfuata upinzani sasa muda wowote wanaweza kubwaga manyanga na kuvaa magwanda kumfuata kamanda EL CHADEMA, pia kuna baadhi inasemekana wanaelekea CUF ya Maalim Seif.

Idadi ya viongozi hawa inasemekana ni pamoja baadhi ya Makatibu na wenyeviti wa sasa wa mikoa na wilaya na wale wanachama na viongozi waliovuliwa uongozi na uanachama na uongozi wa CCM taifa hivi karibuni.

Walalamika kunyanyaswa ndani ya chama kwa koti la kuwatumikua wanyonge, wanachsma hao inasemekana zaidi ni kulalamikia maamuzi ya viongozi wachache bila kushirikishana kama taratibu za uongozi zilivyo. Kingine kinacholalamikiwa ni pamoja na katiba na taratibu za chama kutofuatwa wakati maamuzi.


CCM mmeliamsha dude wacha maagizo yenu yakome.Msimchezee EL mziki wake mwaujua.
 
Kuna tetesi kua kwa sasa wale wanachama wa CCM ambao LOWASA aliwahi kusema watamfuata upinzani sasa muda wowote wanaweza kubwaga manyanga na kuvaa magwanda kumfuata kamanda EL CHADEMA, pia kuna baadhi inasemekana wanaelekea CUF ya Maalim Seif.
Kweli dawa ya nyoka ni kupiga kichwa tu, bado mnatamani wana-CCM akina Madabida,Sophia Simba waje kuchukua uongozi Chadema?
 
Kuna tetesi kua kwa sasa wale wanachama wa CCM ambao LOWASA aliwahi kusema watamfuata upinzani sasa muda wowote wanaweza kubwaga manyanga na kuvaa magwanda kumfuata kamanda EL CHADEMA, pia kuna baadhi inasemekana wanaelekea CUF ya Maalim Seif.

Idadi ya viongozi hawa inasemekana ni pamoja baadhi ya Makatibu na wenyeviti wa sasa wa mikoa na wilaya na wale wanachama na viongozi waliovuliwa uongozi na uanachama na uongozi wa CCM taifa hivi karibuni.

Walalamika kunyanyaswa ndani ya chama kwa koti la kuwatumikua wanyonge, wanachsma hao inasemekana zaidi ni kulalamikia maamuzi ya viongozi wachache bila kushirikishana kama taratibu za uongozi zilivyo. Kingine kinacholalamikiwa ni pamoja na katiba na taratibu za chama kutofuatwa wakati maamuzi.


CCM mmeliamsha dude wacha maagizo yenu yakome.Msimchezee EL mziki wake mwaujua.
Leta story za kutafuta pesa ww acha ushamba wa zamani huo ulikua mwisho 2015.

Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli hii migration ipo, huku Serengeti inakaribia kutokea,wataalam wanaiita "great Wilder beast migration"

Sent from my Infinix_X521 using JamiiForums mobile app
How does it affect the coming and going of tourists?

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
 
Juzi kumetokea mtu kapost kuwa chadema imewafuta uanachama watu wewe umeposti ccm wanahamia chadema tusubiri muda ukifika tutajua mbivu na mbichi
 
How does it affect the coming and going of tourists?

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
Well there will be a high season of touristic activities,most of the people like watching this event,so we expect their number to increase during this particular time
 
Well there will be a high season of touristic activities,most of the people like watching this event,so we expect their number to increase during this particular time
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]

Siasa zina vituko sana

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
 
Kuna tetesi kua kwa sasa wale wanachama wa CCM ambao LOWASA aliwahi kusema watamfuata upinzani sasa muda wowote wanaweza kubwaga manyanga na kuvaa magwanda kumfuata kamanda EL CHADEMA, pia kuna baadhi inasemekana wanaelekea CUF ya Maalim Seif.

Idadi ya viongozi hawa inasemekana ni pamoja baadhi ya Makatibu na wenyeviti wa sasa wa mikoa na wilaya na wale wanachama na viongozi waliovuliwa uongozi na uanachama na uongozi wa CCM taifa hivi karibuni.

Walalamika kunyanyaswa ndani ya chama kwa koti la kuwatumikua wanyonge, wanachsma hao inasemekana zaidi ni kulalamikia maamuzi ya viongozi wachache bila kushirikishana kama taratibu za uongozi zilivyo. Kingine kinacholalamikiwa ni pamoja na katiba na taratibu za chama kutofuatwa wakati maamuzi.


CCM mmeliamsha dude wacha maagizo yenu yakome.Msimchezee EL mziki wake mwaujua.


CCM ni Chama Dola, hata nani ahame maadamu Raisi wa nchi yuko CCM na ndiye Mwenyekiti wa CCM hakuna kitakachoharibika!
 
nyie hamna fedha ya kuwahonga hao waje kwenu.
 
Mwe! nyie nikuchukua chukua tu walitupwa! mie siwezi yaani pipi amelamba mwenzangu akaitema halafu ndio niikote niimumunye nooo! kinyaa
 
Kuna tetesi kua kwa sasa wale wanachama wa CCM ambao LOWASA aliwahi kusema watamfuata upinzani sasa muda wowote wanaweza kubwaga manyanga na kuvaa magwanda kumfuata kamanda EL CHADEMA, pia kuna baadhi inasemekana wanaelekea CUF ya Maalim Seif.

Idadi ya viongozi hawa inasemekana ni pamoja baadhi ya Makatibu na wenyeviti wa sasa wa mikoa na wilaya na wale wanachama na viongozi waliovuliwa uongozi na uanachama na uongozi wa CCM taifa hivi karibuni.

Walalamika kunyanyaswa ndani ya chama kwa koti la kuwatumikua wanyonge, wanachsma hao inasemekana zaidi ni kulalamikia maamuzi ya viongozi wachache bila kushirikishana kama taratibu za uongozi zilivyo. Kingine kinacholalamikiwa ni pamoja na katiba na taratibu za chama kutofuatwa wakati maamuzi.


CCM mmeliamsha dude wacha maagizo yenu yakome.Msimchezee EL mziki wake mwaujua.

Kwa hiyo wanamfuata Lowassa na sio Chama (CHADEMA). Utata.
 
Back
Top Bottom