Tetesi: Wenyeviti/Makatibu wa CCM kujiunga na upinzani, kuungana na Lowassa!

Tetesi: Wenyeviti/Makatibu wa CCM kujiunga na upinzani, kuungana na Lowassa!

Tanzania ina watu wengi wanaitwa LOWASA tafadhali fafanua ni yupi? au yule wa uamsho?
 
Tanzania ina watu wengi wanaitwa LOWASA tafadhali fafanua ni yupi? au yule wa uamsho?
 
MWAKA 2015 CCM ILIPOKARIBIA KUFA, WAZEE WENYE HEKIMA WALIFANYA MAAMUZI MAGUMU KWA KUTOWACHAGUA KUGOMBEA URAIS WALE WOTE WALIOKUWA NA TUHUMA MBALIMBALI NA HASA ZA UFISADI. ALICHAGULIWA MGOMBEA AMBAYE WENGI HAWAKUMTARAJIA.
CHADEMA BILA KUWA NA UJASIRI WA KUKIUNDA CHAMA UPYA KWA KUTAFUTA KIONGOZI KAMA DR. SLAA AMBAYE HATA CCM INAMKUBALI WAJUE KUWA UPINZANI WA SASA NI DHAIFU KULIKO ULE WA MWAKA 1995 WAKATI VYAMA VYA UPINZANI KWA MARA YA KWANZA VILITEUA WAGOMBEA KATIKA NGAZI MBALIMBALI.
KUENDELEA KUCHUKUA MAGARASHA TOKA CCM HAKUTASAIDIA.
 
Shaban Dede: (R.I.P)... Ulinitaliki kwa Taraka Rejeaaa...
Bila aibu ukaninyang'anya nguo mbele za watuuuuu....!
 
Hupaswi kuwa na aibu kwenye siasa za bongo,si unamwona Le professor,kiulaini anaanza kutafuna ruzuku!
Kazi ipo[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
 
ataenda huko maana kwa kushugulikia watu badala ya issues hajambo

Sent from my SM-A500F using JamiiForums mobile app
 
Kweli hizi ni akili za kitoto sasa katika siasa zetu....dawa ni kutafakali,kutafiti na kujiridhisha na hatimaye kuchukua hatua za kuboresha kuliko kurudisha ujumbe ambao hata darasa la nne aliyepata matokeo chini ya wastana anajua kuwa its fake idea and approach.....

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Kuna tetesi kua kwa sasa wale wanachama wa CCM ambao LOWASA aliwahi kusema watamfuata upinzani sasa muda wowote wanaweza kubwaga manyanga na kuvaa magwanda kumfuata kamanda EL CHADEMA, pia kuna baadhi inasemekana wanaelekea CUF ya Maalim Seif.

Idadi ya viongozi hawa inasemekana ni pamoja baadhi ya Makatibu na wenyeviti wa sasa wa mikoa na wilaya na wale wanachama na viongozi waliovuliwa uongozi na uanachama na uongozi wa CCM taifa hivi karibuni.

Walalamika kunyanyaswa ndani ya chama kwa koti la kuwatumikua wanyonge, wanachsma hao inasemekana zaidi ni kulalamikia maamuzi ya viongozi wachache bila kushirikishana kama taratibu za uongozi zilivyo. Kingine kinacholalamikiwa ni pamoja na katiba na taratibu za chama kutofuatwa wakati maamuzi.


CCM mmeliamsha dude wacha maagizo yenu yakome.Msimchezee EL mziki wake mwaujua.
Sasa hao watakaoachwa CCM wakienda CHADEMA, basi ujue CDM watapoteza sana uchaguzi wa 2020 kwa sababu CCM ndio itakuwa ikiwaita wao mafisadi. Sijui Tundu Lissu atakuwa abawanadi vipi? Halafu hapo hapo wanakataa kumuunga mkono Magufuli kwa madai kuwa uozo ulifanywa na wana-CCM. So kama ni hivyo mbona watakuwa wanachukua mskapi?
 
Back
Top Bottom