Tetesi: Wenyeviti/Makatibu wa CCM kujiunga na upinzani, kuungana na Lowassa!

Tetesi: Wenyeviti/Makatibu wa CCM kujiunga na upinzani, kuungana na Lowassa!

Kuna tetesi kua kwa sasa wale wanachama wa CCM ambao LOWASA aliwahi kusema watamfuata upinzani sasa muda wowote wanaweza kubwaga manyanga na kuvaa magwanda kumfuata kamanda EL CHADEMA, pia kuna baadhi inasemekana wanaelekea CUF ya Maalim Seif.

Idadi ya viongozi hawa inasemekana ni pamoja baadhi ya Makatibu na wenyeviti wa sasa wa mikoa na wilaya na wale wanachama na viongozi waliovuliwa uongozi na uanachama na uongozi wa CCM taifa hivi karibuni.

Walalamika kunyanyaswa ndani ya chama kwa koti la kuwatumikua wanyonge, wanachsma hao inasemekana zaidi ni kulalamikia maamuzi ya viongozi wachache bila kushirikishana kama taratibu za uongozi zilivyo. Kingine kinacholalamikiwa ni pamoja na katiba na taratibu za chama kutofuatwa wakati maamuzi.


CCM mmeliamsha dude wacha maagizo yenu yakome.Msimchezee EL mziki wake mwaujua.

Hii ni speculation kwa kuamini kuwa uchaguzi wa CCM utakaofanyika hivi karibuni utasababisha baadhi ya watakaokatwa au kukosa kura wahamie kwa Lowassa. Ila usitarajie aliyeko madarakani muda huu na ambaye ana imani kuwa hatakatwa eti amfuate Lowassa. Ingekuwa hivyo mbona wangehama siku nyingi tu.
 
Waondoke tu kama wanaunga mkono ujinga wa EL

Sent from my Lenovo A606 using JamiiForums mobile app
 
Hii kitu ya migration imewagarimu chadema bado mnaihitaji?
Kenge aelewi mpaka damu zimtoke.
 
Kweli dawa ya nyoka ni kupiga kichwa tu, bado mnatamani wana-CCM akina Madabida,Sophia Simba waje kuchukua uongozi Chadema?
Na ninyi!!!? au ndio mnaostahili kubeba na kuhonga wanachama wa vyama vingine
 
UPINZANI wa sasa hauna hoja za kuwaeleza wananchi. Agenda zote za maendeleo zinatekelezwa na utawala huu,Sasa hao watu wanakimbilia huko kufanya siasa gani?
 
UPINZANI wa sasa hauna hoja za kuwaeleza wananchi. Agenda zote za maendeleo zinatekelezwa na utawala huu,Sasa hao watu wanakimbilia huko kufanya siasa gani?
wananchi hawaelezwi kitu wanajuwa hakuna serikali ni mzuka tu hawajichoshi na mabashite
 
Hakuna kitu kama hicho.!

Sent from my Lenovo TAB 2 A7-30H using JamiiForums mobile app
 
Kuna tetesi kua kwa sasa wale wanachama wa CCM ambao LOWASA aliwahi kusema watamfuata upinzani sasa muda wowote wanaweza kubwaga manyanga na kuvaa magwanda kumfuata kamanda EL CHADEMA, pia kuna baadhi inasemekana wanaelekea CUF ya Maalim Seif.

Idadi ya viongozi hawa inasemekana ni pamoja baadhi ya Makatibu na wenyeviti wa sasa wa mikoa na wilaya na wale wanachama na viongozi waliovuliwa uongozi na uanachama na uongozi wa CCM taifa hivi karibuni.

Walalamika kunyanyaswa ndani ya chama kwa koti la kuwatumikua wanyonge, wanachsma hao inasemekana zaidi ni kulalamikia maamuzi ya viongozi wachache bila kushirikishana kama taratibu za uongozi zilivyo. Kingine kinacholalamikiwa ni pamoja na katiba na taratibu za chama kutofuatwa wakati maamuzi.


CCM mmeliamsha dude wacha maagizo yenu yakome.Msimchezee EL mziki wake mwaujua.
mkuu kilevi ulichotumia au chakula ulichokula usitumie tena ...siku nyingine kinaweza kukushauri kujiua
 
Waje Itakuwa vyema sana!!

Sent from my TECNO-Y2 using JamiiForums mobile app
 
Ngoja vijana wa Lumumba waje speed kukujibu!
 
Kuna tetesi kua kwa sasa wale wanachama wa CCM ambao LOWASA aliwahi kusema watamfuata upinzani sasa muda wowote wanaweza kubwaga manyanga na kuvaa magwanda kumfuata kamanda EL CHADEMA, pia kuna baadhi inasemekana wanaelekea CUF ya Maalim Seif.

Idadi ya viongozi hawa inasemekana ni pamoja baadhi ya Makatibu na wenyeviti wa sasa wa mikoa na wilaya na wale wanachama na viongozi waliovuliwa uongozi na uanachama na uongozi wa CCM taifa hivi karibuni.

Walalamika kunyanyaswa ndani ya chama kwa koti la kuwatumikua wanyonge, wanachsma hao inasemekana zaidi ni kulalamikia maamuzi ya viongozi wachache bila kushirikishana kama taratibu za uongozi zilivyo. Kingine kinacholalamikiwa ni pamoja na katiba na taratibu za chama kutofuatwa wakati maamuzi.


CCM mmeliamsha dude wacha maagizo yenu yakome.Msimchezee EL mziki wake mwaujua.
ENDELEA KUOTA
 
Back
Top Bottom