Wenyeviti Serikali za Mitaa amkeni: Wakuu wa Wilaya angalieni hii inawahusu

Wenyeviti Serikali za Mitaa amkeni: Wakuu wa Wilaya angalieni hii inawahusu

Mawematatu

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
468
Reaction score
608
Viongozi wa mitaa ndiyo base ya mambo yote serikali inayopanga.

Bila Hawa viongozi kufanya kazi yao kazi haiwezi kufanyika. Mabalozi wa shina ndio msingi mkuu wa kuunganisha wananchi. Dhana yote ya utawala bora itategemea oganaisheni(organization) ya Mh DC, na wananchi bila Hilo hakuna kitu.

Hoja yangu ni usalama wa raia. Mabalozi wanalala sana. Viongizi wa serikali za mitaa wanalala pia. AMKENI..Matukio yanapoibuka hawana majibu Kwa kuwa hawajafanya kazi yao. Ulinzi shirikishi utasaidia Sana. Lkn ni ni vigumu Sana kulinda usalama wa raia bila viongozi wa shina mabalozi kuamka wamelala Sana. Nakuhakikishia mabalozi wanalala.

Wezi wa kuvamia wanarahisishiwa kazi ya Kuvunja,kuiba,kubaka,kulawiti wanawake na wamama wajawazito, wanafunz majumbani kwa kutowajibika kwa viongozi. Shime kila mmj awajibike. Japo aseme kila nyumba imiliki filimbi kabla wez hawajafanya lolote piga filimbi.
 
Viongozi wa mitaa ndiyo base ya mambo yote serikali inayopanga.

Bila Hawa viongozi kufanya kazi yao kazi haiwezi kufanyika. Mabalozi wa shina ndio msingi mkuu wa kuunganisha wananchi. Dhana yote ya utawala bora itategemea oganaisheni(organization) ya Mh DC, na wananchi bila Hilo hakuna kitu.

Hoja yangu ni usalama wa raia. Mabalozi wanalala sana. Viongizi wa serikali za mitaa wanalala pia. AMKENI..Matukio yanapoibuka hawana majibu Kwa kuwa hawajafanya kazi yao. Ulinzi shirikishi utasaidia Sana. Lkn ni ni vigumu Sana kulinda usalama wa raia bila viongozi wa shina mabalozi kuamka wamelala Sana. Nakuhakikishia mabalozi wanalala.

Wezi wa kuvamia wanarahisishiwa kazi ya Kuvunja,kuiba,kubaka,kulawiti wanawake na wamama wajawazito, wanafunz majumbani kwa kutowajibika kwa viongozi. Shime kila mmj awajibike. Japo aseme kila nyumba imiliki filimbi kabla wez hawajafanya lolote piga filimbi.
Naunga mkono serikali ya mtaa ndiko kunakotakiwa kuwa na kamati za ulinzi na usalama.Na wananchi kwa ujumla.Lakini nakukosoa kuhusu mabalozi hao si sehemu ya utendaji wa serikali na hawana mamlaka kisheria kuorganise watu na kulifanya sheria elewa.
 
Viongozi wa mitaa ndiyo base ya mambo yote serikali inayopanga.

Bila Hawa viongozi kufanya kazi yao kazi haiwezi kufanyika. Mabalozi wa shina ndio msingi mkuu wa kuunganisha wananchi. Dhana yote ya utawala bora itategemea oganaisheni(organization) ya Mh DC, na wananchi bila Hilo hakuna kitu.

Hoja yangu ni usalama wa raia. Mabalozi wanalala sana. Viongizi wa serikali za mitaa wanalala pia. AMKENI..Matukio yanapoibuka hawana majibu Kwa kuwa hawajafanya kazi yao. Ulinzi shirikishi utasaidia Sana. Lkn ni ni vigumu Sana kulinda usalama wa raia bila viongozi wa shina mabalozi kuamka wamelala Sana. Nakuhakikishia mabalozi wanalala.

Wezi wa kuvamia wanarahisishiwa kazi ya Kuvunja,kuiba,kubaka,kulawiti wanawake na wamama wajawazito, wanafunz majumbani kwa kutowajibika kwa viongozi. Shime kila mmj awajibike. Japo aseme kila nyumba imiliki filimbi kabla wez hawajafanya lolote piga filimbi.
Wenyeviti wa vijiji wengi ni wazeee..waliochoka na maisha hawana elimu unategemea nini cha maana kutoka kwao..sawa sawa na wabunge wa kijani.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom